Makalla Ampa Pole Mchungaji Msigwa wa CHADEMA, Amtaka Ajiunge CCM
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM, Amos Makalla amempa pole aliyekuwa Mbunge wa Iringa Mjini na mwanachama wa CHADEMA, Peter Msigwa kufuatia malalamiko aliyoyatoa leo kupinga ushindi wa Joseph Mbilinyi katika uchaguzi wa ndani wa CHADEMA kanda ya Nyasa. Makalla ameyasema hayo wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika jijini Arusha wakati wa ziara ya Katibu Mkuu wa CCM Dkt. Emmanuel Nchimbi inayoendelea mikoani.

▶︎
Balaa alilolifanya Mbunge Msigwa Bungeni “SIWEZI KUMPIGIA MAGOTI”

▶︎
MCHUNGAJI MSIGWA AFUNGUKA BAADA YA KUJIUNGA NA CCM, ATAJA SABABU ZILIZOMFANYA AONDOKE CHADEMA.

▶︎
CHADEMA WANAPASWA KUJITAFAKARI| SIJASHANGAZWA PETER MSIGWA KUHAMIA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM)

▶︎
MSIGWA AFICHUA MADUDU YALIYOGUBIKA UCHAGUZI KANDA YA NYASA ''SIJARIDHISHWA NIMEKATA RUFAA"

▶︎
Peter Msigwa Ashusha Tuhuma Nzito CHADEMA | Adai Kuhujumiwa

▶︎
Rasmi Dk Slaa Arejea CHADEMA | Mchungaji Msigwa Naye Yupo Njiani? Itafahamika Machi 29, Iringa

▶︎
LIVE : GERSON MSIGWA ANATOA TAMKO ZITTO MUDA HUU

▶︎
MUSUKUMA AMLIPUA MCHUNGAJI PETER MSIGWA IRINGA - "NITAKUWA NAMPIGIA BUNGENI"...

▶︎
BAADA YA MATOKEO SUGU AFUNGUKA YAKE || MSIGWA NAE ASEMA YAKE

▶︎
MSIGWA AFUNGUKA HUJUMA ZILIZOFANYWA UCHAGUZI CHADEMA KANDA YA NYASA - ''SIHAMI - WATAHAMA WAO''...

▶︎
🔴#LIVE: GERSON MSIGWA ANAONGEA MUDA HUU MTUMBA - DODOMA

▶︎
MSIGWA AFUNGUKA SABABU YAKUITOSA CHADEMA KUHAMIA CCM "MIMI NI MTU MZIMA"

▶︎
🅻🅸🆅🅴......MSEMAJI MKUU WA SERIKALI ANAZUNGUMZA MUDA HUU KUTOKEA MJI WA SERIKALI MTUMBA DODOMA

▶︎
Spika Amshukia Mbunge Sigrada Akichangia Kuhusu Kodi, Mbunge Aomba Samahani

▶︎
Heche Amshukia Patrobasi Katambi Kufungia Mikutano: 'Hauna Mamlaka Hayo'

▶︎
EXCLUSIVE|| MSIGWA AFUNGUKA KUTAKA UBUNGE KUPITIA CCM, AGUSIA KUCHOMEWA NYUMBA YAKE, AMTAJA MBOWE

▶︎
MSIMAMIZI WA UCHAGUZI WA CHADEMA KANDA YA NYASA ATOA UFAFANUZI KILICHOTOKEA,RUFAA YA MSIGWA

▶︎
OKUGGYAKO AKULIRA OLUDDA OLUWABULA : Bannamateeka baliko bye bawabudde abakitembeeta

▶︎
🅻🅸🆅🅴 TUNDU LISSU NA PETER MSIGWA WANAUNGURUMA KIJIJI UGHANDI -SINGIDA KASKAZINI

▶︎
