Luhaga Mpina wa ACT Wazalendo azimwa na Msajili wa Vyama, Tanzania
Ofisi ya msajili wa vyama vya siasa nchini Tanzania imebatilisha uteuzi wa mgombea urais wa chama cha ACT Wazalendo Luhaga Mpina, ikidai kwamba uteuzi wa mgombea huyo haukufuata taratibu za chama. Uamuzi huu wa Msajili unafuatia malalamiko yaliyotolewa na Katibu Mwenezi wa chama cha ACT Wazalendo Mkoa wa Dar es Salaam Monalisa Ndala aliyedai chama chake kilivunja kanuni katika kumteua Mpina kuwa mgombea.

▶︎
Mkataba wa amani kati ya Marekani na Iran huenda ukasainiwa Jumapili huko Geneva.

▶︎
Luhaga Mpina Afanya Maamuzi Magumu Siku Chache Kabla ya Oktoba 29: Aenda Mahakama ya Rufaa

▶︎
Luhaga Mpina Afunguka Mbele ya Rais Samia, Wananchi Wamashangilia Mwanzo-Mwisho: 'Kisesa Tunakudai'

▶︎
HAPATOSHI BUNGENI MPINA NA BASHE | HIZI NI DAKIKA 21 ZA MJADALA MKALI | "MPINA ULETE USHAHIDI"

▶︎
KIFO NA HISTORIA YA MAISHA YA MAALIM SEIF SHARIF

▶︎
TRUMP ATOA AHADI KWA DUNIA LEO HAIISHI ‘’MTAJUA NITAENDA KUIFANYA NINI IRAN’’ HAPA TUMEFIKA PABAYA

▶︎
Matangazo ya Dira ya Dunia Redio 12/06/2026

▶︎
MPINA AIBUKIA JIMBONI KWAKE

▶︎
Brasilien - Marokko, Highlights mit Livekommentar | FIFA WM 2026 | MAGENTA TV

▶︎
MJUE LUHAGA MPINA ALIYEGEUKA MSUMARI wa MOTO kwa SERIKALI - MAGUFULI AKAMTEUA AKAACHWA SOLEMBA...

▶︎
UCHANGANUZI | Kupigwa 'stop' mgombea wa ACT Wazalendo, kipyenga cha kampeni za Uchaguzi Mkuu

▶︎
HECHE AMCHANA SAIDI ISSA MOHAMED AMUITA MSALITI SIO MWENZETU | ANATUMIKA ALIFUNGUA KESI YA UONGO.

▶︎
Free Tundu Lissu | Humphrey Polepole Anaongea Na Watanzania

▶︎
LAZIMA MPINA AONDOLEWE ASIGOMBEE URAIS | MPINA ANA HASIRA ATATUVURUGA-MONALISA NDALA MWENEZI ACT

▶︎
Kampeni zaanza rasmi Tanzania, ACT Wazalendo wakiwa mahakamani

▶︎
LUHAGA MPINA BAADA ya KUZUILIWA KUGOMBEA URAIS - HUU NDIYO MSIMAMO wa ACT WAZALENDO...

▶︎
Mwanzo-Mwisho Wabunge CCM Wachachamaa Marekani Kutaka Kuwaekea Vikwazo Viongozi wa Serikali Tanzania

▶︎
MWANAMKE ALIYE MTEKA MTOTO SHULENI NA KUTAKA ALIPWE MILIONI 20,AKAMATWA NA MTOTO TABORA

▶︎
'Chama cha Mapinduzi kitakabiliana na upinzani daraja la nne'

▶︎
