Jinsi wakongwe nchini wanapambana na virusi vya HIV

Akiwa na umri wa miaka 88, Dan Odera huenda ni miongoni mwa watu wakongwe zaidi wanaoishi na virusi vya HIV humu nchini. Amepoteza wapendwa wake walioambukizwa na virusi hivyo ila hajakata tamaa ya maisha. Mabadiliko katiika maisha mbali na kupuuza unyanyapaa umemfanya aweze kuishi na virusi hivyo kwa miaka 19. Hii hapa simulizi ya Dan Odera.