E HABARI JUNE 16 2026\DSE YAIDHINISHA GAWIO LA SH 146.21 KWA KILA HISA BAADA YA KUONGEZA FAIDA
SOKO la Hisa la Dar es Salaam (DSE) limeidhinisha utoaji wa gawio la shilingi 146.21 kwa kila hisa kwa wanahisa wake baada ya kurekodi faida baada ya kodi ya shilingi bilioni 2.348 katika mwaka wa fedha uliopita, hatua inayoakisi kuimarika kwa utendaji wa soko hilo na mchango wake katika kukuza uwekezaji na masoko ya mitaji nchini. Akizungumza katika Mkutano Mkuu wa Wanahisa wa DSE, Mwenyekiti wa Bodi, Daniel Ole Sumayan, amesema uamuzi wa kutoa gawio hilo unalenga kuongeza thamani kwa wanahisa na kuhamasisha uwekezaji endelevu, huku ukuaji wa shughuli za soko ukiendelea kuimarisha nafasi ya DSE katika uchumi wa taifa.

▶︎
Musukuma Awataka Mawaziri Zanzibar Wachunge Kauli | Ataka Serikali Kubana Matumizi, Atetea Madereva

▶︎
NMB Share Split: Usinunue Hisa za NMB Kabla ya Kuona Video Hii!

▶︎
LIVE 🔴: TRANSFORMER - 17 JUNE 2026

▶︎
WAITARA AMJIBU SIMAI ALIYESEMA SERIKALINI KUNA YUDA - ''ALIMTUKANA RAIS MWINYI - KAULI za AJABU''...

▶︎
LIVE 🔴: JOTO LA ASUBUHI - 12 JUNE 2026

▶︎
Argentinien – Algerien Highlights | Gruppe J, FIFA WM 2026 | sportstudio

▶︎
NHIF YAFAFANUA UTARATIBU WA BIMA YA AFYA KWA WOTE, NAMNA INAVYOWAFUATA WATU

▶︎
LIVE 🔴: JOTO KALI LA ASUBUHI - 15 JUNE 2026

▶︎
E HABARI JUNE 16 2026/TANZANIA YAHOJI HASARA YA DOLA MILIONI 250 KUZIMWA MTANDAO UCHAGUZI MKUU

▶︎
MAPUNGUFU, UBORA WA BAJETI KUU ZA TANZANIA NA KENYA KILA MWAKA UREMBO!!

▶︎
3 Kenyan Banks to collapse 🥺?

▶︎
How China Built an Impossible Bridge Above the Clouds

▶︎
Irak – Norwegen Highlights | Gruppe I, FIFA WM 2026 | sportstudio

▶︎
LIVE 🔴: JOTO LA ASUBUHI - 17 JUNE 2026

▶︎
LIVE 🔴: E SPORTS YA EFM - 17 JUNE 2026

▶︎
LIVE 🔴: JIONI YA LEO - 17 JUNE 2026

▶︎
Nigel Farage on Putin, Immigration and Taking Risks | The Mishal Husain Show

▶︎
Niederlande – Japan Highlights | Gruppe F, FIFA WM 2026 | sportstudio

▶︎
LIVE 🔴: JOTO LA ASUBUHI - 16 JUNE 2026

▶︎
