HAPO NDIPO YESU ATAKAPORUDI ||| PR. BROWN O. BUKUKU

Leo tunatambulishiwa rasmi Mchungaji mpya wa mitaa hii miwili iliyo katika jiji la Mbeya. Baada ya Mchungaji Kumi Mwandetele kuhamishiwa mtaa wa Masoko na Mchungaji Ibrahim Kubadilishana naye toka Masoko kuja kwenye mitaa hii ya Uyole na Mtoni. #hopechanneltanzania #mahubiri #mahubiritv