AMINIKA WH509 KIJIJI CHA KING'ORI KITONGOJI CHA KWAKIRENGA

AMINIKA WH509 katika kijiji cha king'ori kitongoji cha Kwakirenga Wilaya ya Meru, AMINIKA WH509 imeendelea kuthibitisha kuwa ni mbegu sahihi kwa mkulima wa mahindi anayetaka mafanikio shambani. #westernseedtanzania #wakatiwamavunonisasa