Profesa Kishimba: "Wasomi Walete Miti ya Miezi 6 I Wanakuona Mpuuzi I Inawezekana Wasipike na Wasile

"HOJA ZA PROFESA KISHIMBA BUNGENI" . . "Kuna sheria mpya imeanzishwa ambayo inamtaka mtu atakayekuwa na gunia moja la mkaa lazima apte kibali toka Halmashauri ya Wilaya na awe na EFD, labda wenzetu wangeangalia Jiografia ya nchi na maisha ya watu wetu. Tutarajie ndani ya mwezi mmoja kutatokea "chaos" kubwa ya mkaa na kwa kawaida itawezekana kweli watu wasipike na wasile?. Kuna majimbo kutoka makao makuu ya Halmashauri kwenda kijijini ni zaidi ya kilomita 200 kweli mwananchi mwenye gunia moja aende mpaka wilayani?" "Kwetu kanda ya Ziwa ukimwambia mtu apande miti kwa ajili ya mvua anakuona ni mpuuzi maana yake tuna mafuriko miaka miwili, mwananchi atakuuliza je unataka tupande miti ya kuzuia mvua maana ukiwaambia unataka miti ya mvua wanakuuliza kuzidi hii iliyopo leo. Sisi tuwaambie panda miti ya kutengeneza pesa" "Wakati mwingine mnasema tunawasakama wasomi, leo Tanzania ni nchi ya nne kwa ku-export mkaa wa magendo, sasa ukataaje kurasimisha ili upate pesa na wale wanaonunua wa magendo waje kununua pale kwenye soko.” “Haiwezekani baada ya miaka 60 tukawapeleka watoto wasome wawe mgambo wa kukamata wazazi wao, kazi ya elimu duniani ni kutatua matatizo. "Leo wazungu wametengeneza mpaka mapapai ya miezi 6, wametengeneza kuku wa kizungu kwanini hao wataalamu wasilete miti ya miezi 6 ili watu wauze kuni na mkaa, lazima twende kwenye pesa" Jumanne Kishimba-Mbunge Kahama Mjini #KutokaBungeni #CloudsDigitalUpdates

Wabunge Wavunja Mbavu/Orodha ya Vifaa vya Shule ni Utapeli Mtupu/Wizara ya Elimu Ije na Mawazo Mapya
▶︎

Wabunge Wavunja Mbavu/Orodha ya Vifaa vya Shule ni Utapeli Mtupu/Wizara ya Elimu Ije na Mawazo Mapya

MBUNGE KISHIMBA AMTOLEA UVIVU MWIGULU "UNANICHONGANISHA NA WANANCHI WANGU"
▶︎

MBUNGE KISHIMBA AMTOLEA UVIVU MWIGULU "UNANICHONGANISHA NA WANANCHI WANGU"

JANA NA LEO LIVE NA PROF. JUMANNE KISHIMBA, MBUNGE KAHAMA MJINI { FEB 28, 2024}
▶︎

JANA NA LEO LIVE NA PROF. JUMANNE KISHIMBA, MBUNGE KAHAMA MJINI { FEB 28, 2024}

Dear Warutere’s wife, wandemire na banga ukiuga twì ndùgu na mùthuriguo no nì biacara twarutaga nake
▶︎

Dear Warutere’s wife, wandemire na banga ukiuga twì ndùgu na mùthuriguo no nì biacara twarutaga nake

🔴#LIVE: WAZIRI MKUU ANATUMBUA MAJIPU ITIGI - MAKONGOROSI
▶︎

🔴#LIVE: WAZIRI MKUU ANATUMBUA MAJIPU ITIGI - MAKONGOROSI

Jaji Warioba Aongea: Ripoti ya Chande, Maridhiano, Katiba, Aonya Kuzuia Mawazo: Watanzania Wanaogopa
▶︎

Jaji Warioba Aongea: Ripoti ya Chande, Maridhiano, Katiba, Aonya Kuzuia Mawazo: Watanzania Wanaogopa

Tundu Lissu: "Hakuna tena kuimbiana mambo ya maridhiano  yasiyokuwepo"
▶︎

Tundu Lissu: "Hakuna tena kuimbiana mambo ya maridhiano yasiyokuwepo"

MHE. KISHIMBA AJA NA NYINGINE HII KALI INAMUHUSISHA MLOKOLE MMOJA, MIZIMU NA MANDELA.
▶︎

MHE. KISHIMBA AJA NA NYINGINE HII KALI INAMUHUSISHA MLOKOLE MMOJA, MIZIMU NA MANDELA.

BREAKING: Sifuna finally beats Ruto
▶︎

BREAKING: Sifuna finally beats Ruto

KISHIMBA aendeleza hoja zake konki Bungeni ''anajua sana aise, lazima utamkubali''
▶︎

KISHIMBA aendeleza hoja zake konki Bungeni ''anajua sana aise, lazima utamkubali''

Dakika 59 Kishimba akimwaga Nondo akizungumza na wanafunzi wa mwaka wa tatu UDOM
▶︎

Dakika 59 Kishimba akimwaga Nondo akizungumza na wanafunzi wa mwaka wa tatu UDOM

Ikiyago n’abahoze ari abakuru b’igihugu
▶︎

Ikiyago n’abahoze ari abakuru b’igihugu

Vituko vingine vya Mbunge BWEGE bungeni leo, “tutaandamana”
▶︎

Vituko vingine vya Mbunge BWEGE bungeni leo, “tutaandamana”

HE’S GONE! The Secret Reason Senegal’s Government Just Collapsed
▶︎

HE’S GONE! The Secret Reason Senegal’s Government Just Collapsed

Kishimba ashusha nondo NZITO kwenye elimu Bungeni; ataka uanzishwe mtaala wa  wafanyakazi wa ndani
▶︎

Kishimba ashusha nondo NZITO kwenye elimu Bungeni; ataka uanzishwe mtaala wa wafanyakazi wa ndani

Leo #MariaSpaces tunajadili: Focus! Tunaendeleaje kusimama kidete bila kuvurugwa? #FreeTunduLissu
▶︎

Leo #MariaSpaces tunajadili: Focus! Tunaendeleaje kusimama kidete bila kuvurugwa? #FreeTunduLissu

REBROADCAST | EFF President Julius Malema speaks to JJ Tabane
▶︎

REBROADCAST | EFF President Julius Malema speaks to JJ Tabane

🔴#live; EXCLUSIVE INTERVIEW YA TUNDU LISSU USIKU HUU AKIWA NA ODEMBA AFUNGUKA KILA KITU
▶︎

🔴#live; EXCLUSIVE INTERVIEW YA TUNDU LISSU USIKU HUU AKIWA NA ODEMBA AFUNGUKA KILA KITU

"WABUNGE TUPEWE LAKI MOJA NA NUSU, HALAFU TUKAISHI MBAGALA" - MBUNGE KISHIMBA AWAVUNJA MBAVU WABUNGE
▶︎

"WABUNGE TUPEWE LAKI MOJA NA NUSU, HALAFU TUKAISHI MBAGALA" - MBUNGE KISHIMBA AWAVUNJA MBAVU WABUNGE

ODM's Edwin Sifuna says “he does not fear anyone and is ready for whoever comes his way”
▶︎

ODM's Edwin Sifuna says “he does not fear anyone and is ready for whoever comes his way”