JKU yafungua jengo jipya la hospital
Naibu waziri wa Afya Mh Harus Said Sleman amewataka waguzi wa kituo cha Afya cha Jeshi la Kujenga uchumi Jku kutoa lungha nzuri kwa wagonjwa pale yanapotoa huduma ya kwa jamii. Wito huo ameutoa leo wakati alipokuwa akifungua jengo jipya la kutuo cha Afya cha Jku saaten ikiwa ni miongoni mwa shamra shamra ya kutimiza miaka ,42 ya kuasisiwa jeshi hilo. Mh Harusi ameitaka jamii kuitumia hospital ya Jeshi ya jeshi hilo kwani hospital hjyo ina wataalam wa kutossha na wenye fani tofauti jambo ambalo linapelekea kuondokana na msongamano wa wagonjwa hospital kuu ya mnazi mmoja. Nae mkuu wa jeshi la kujenga uchumi Jku kanali Ali Mtumweni Hamadi ameishukuru Wizara ya Afya kwa juhudi kubwa walioionyesha na kuiomba Serikali kuipatia vifaa vya kisasa ili iweze kutoa huduma bora za uhakika kituoni hapo. Kwa upande wake mganga mkuu wa hospital hiyo luteni kanal machano Isaa Mohd amesema licha ya kuwa na mafanikio lakini pia kuna changamoto zinazo tukabili kituoni hapo ikiwrmo ipungufu wa wataalam wa Afya Vifaa tiba na upatikanaji wa dawa kwa uhakika. Jengo hilo limejengwa kwa nguvu za wana Jku wenye na limegharimu hadi kumalizika kwake ni sh za kitanzania milioni mia moja na hamsini

Full interview: Trump says Iran ‘is not an endless war’ as conflict reaches 100 days

JKU yapatiwa Mafunzo ya Umiliki Nyumba za Kisasa kwa Mikopo Nafuu Kupitia Mpango wa PSHS

JKU UPENJA YAZINDUA UVUNAJI WA ZAO LA MPUNGA

80 Years Since The Atomic Bombing Of Hiroshima & Nagasaki

MKUU WA JKU AWAONGOZA MAAFISA NA WAPIGANAJI KATIKA MATEMBEZI YA MIGUU

NERVOUS 12-Year-Old Who Can Sing Without Opening Her Mouth Earns Mel B's GOLDEN BUZZER!

ASKARI WA KIKOSI CHA KUJENGA UCHUMI JKU PEMBA MIKONONI MWA ZAECA.

JKU KABADDI VS NYUKI KABADI FAINAL

I went to Uzbekistan and it changed my life: this is NOT shown in any documentary

BREAKING: Iranian regime launches missiles over Israel

Unforgettable Goals Of Diego Maradona

MWALIMU WA JKU TATU JUMAANE MOHD ATOA MAFUZO YA UOGELEAJI

Ensihoitokertomuksia: Sairaalan sisäinen hätätilaryhmä (MET)

Another Proof That Leonardo da Vinci Was a Genius

HOSPITALI YA JKU YAFANYA UPASUAJI WA MAGONJWA YA KOO

Ngoma ya Kibati kutoka JKU yawakosha wana ZOI.

MAADHIMISHO YA SIKU YA WAFANYAKAZI DUNIANI YALIYOFANYIKA DOLE ZANZIBAR 2026

MAADHIMISHO YA SIKU YA WAFANYAKAZI DUNIANI 2026

La Paz Hospital - Welcome to the Pediatric ICU

