ALIKATAA MPAKA TUFUNGE NDOA, KUMBE KITANDANI ZERO

Moyoni mwangu, nilihisi kitu cha ajabu: huu haukuwa ugonjwa wa kawaida. Nikasema nitapambana kujua ukweliMaana kwa majibu ya hospitali, moyo wangu haukutulia. Nilihisi kuna kitu kimefichwa, kitu kisichokuwa cha kawaida. Nilihitaji mtu wa kunielekeza. Ndipo nilimkumbuka best yangu niliyekuwa naishi nae