MKUU WA WILAYA YA LUSHOTO ZEPHANIA STEVEN SUMAYE AJITAMBULISHA RASM KWA MADIWANI WA HALMASHAURI:
Mkuu huyo wa wilaya ambae ameriport wilaya ya Lushoto mhe, Zephania Steven Sumaye amejitambulisha rasm kwa wahemiwa MADIWANI wa Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto,pamoja na wataalam wa Halmashauri hiyo pamoja na wakuu wa idara wa Halmashauri hiyo. Hata hivo kikao hicho ni kikao Cha robo ya 4 ya mwaka 2023/2024,kikao hicho kilikua ni kikao Cha wahe,madiwani na watendaji wa kata kwaajili yakutoa taarifa za kimaendeleo katika kata zao na taarifa za ukusanyaji wa mapato. Katika kikao hicho mkuu huyo wa wilaya alisisitiza ukusanyaji wa mapato upewe kipaumbele kikubwa zaidi ni kuhamashisha ukusanyaji mkubwa mapapato. pia mkuu wa wilaya huyo alisisitiza Sana suala zima la uchaguzi wa serikali za mitaa ambapo utafanyika mapema mwezi wa November mwaka huu,na pia mkuu huyo wa wilaya alitoa maelekezo kwa wahe,madiwani pamoja na kutoa maelekezo mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri hiyo ndugu Ikupa Harsoni mwasyoge Kufuatia hatua hiyo mwenyekiti wa Halmashauri hiyo,ambae pia ni mhe diwani wa kata ya magamba Mathew mbaruk nae amepokea maelekezo.kutoka kwa mkuu huyo wa wilaya ya lushoto. Nae mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri hiyo ndugu Ikupa Harsoni mwasyoge ametoa6g atareh maarum ya kupigaji wa kura na pia alisisitiza kua watu wajitokeze kwa wingi na kusisitiz kua watu wenye sifa wajitokeze ifikapo wakati maalum wa kuchukua form wajitokeze kwa wingi ili waweze kuchukua form hizo,nakusema kua wananchi wachageue kiongozi mzuri na kujiepusha na vitendo vya rushwa ifikapo nyakati hizi SILIZA VIDEO H

MKUU WA WILAYA ATATUA MGOGORO WA WAKULIMA WA KATA YA MAMBO NA MKUNDI YA MTAE:

🔴#LIVE: NI BALAA WANANCHI WAFURIKA KUMPOKEA HECHE SONGEA MJINI

DC WA LUSHOTO ZEPHANIA SUMAYE AFANYA ZIARA YA KIJITAMBULISHA KATIKA HALMASHSURI YA BUMBULI:

🔴BONGOFMLIVE: MKUU WA WILAYA YA LUSHOTO AFUNGUKA UTAMU WA VIVUTIO VYA LUSHOTO/WATU WAMEAMUA KUBAKI

Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, akisoma wasifu wa Marehemu Askofu Mstaafu Joseph Mathayo Jali.

LUSHOTO:WAKALA WA MISITU TANZANIA TFS WATOA GAWIO KWA TAASISI ZINAZOZUNGUUKA SHAMBA LA MITI SHUME:

WAGANGA WA TIBA ASILI NA TIBA MBADALA WASOGEZEWA HUDUMA YA USAJILI JIRANI BARIADI DC

*MBUNGE SHEKILINDI AIBUA MAZITO, RC MGUMBA ATULIZA PRESHA ZA WANANCHI LUSHOTO,TANGA*

LUSHOTO:CRDB WAKABIDHI VYUMBA VIWILI VYA MADARASA KATIKA SHULE YA MSINGI KWENDOGHOI USAMBARA:

አባትዎ ሲገደሉ የት ነበሩ? ደረጀ ኃይሌ ከልዑል አስፋወሰን አሥራተ ጋር | ጀርመን | ክፍል 1|#በነገራችንላይ @ArtsTVWorld

Uruhara rwa UPRONA mubwicanyi bwabaye muri 1972//Igitigiri c'Abahutu bishwe ku ntwaro ya MICOMBERO

Salamu za Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu Usharika wa Kana

WARATIBU WA WABUNGE MAJIMBO YA LUSHOTO NA MLALO WATOA SALAMU ZA WABUNGE WAO KATIKA KIKAO CHA MADIWAN

LIVE : CHADEMA WATUA KWA KISHINDO SONGEA, HECHE,MNYIKA,WANAUNGURUMA MUDA HUU

Mahubiri ya Askofu Jackson Sosthenes Jackson wa Kanisa Anglikana Tanzania Dayosisi ya Dar es Salaam

BUMBULI:VIKUNDI 32 VYA WAJASILIAMALI BUMBULI WAPEWA MIKOPO YA SHILINGI 118,600,000.00 YA %10:

🔴RAIS SAMIA AKIHUTUBIA WANANCHI LUSHOTO MJINI...FEBRUARI 24, 2025

LONGIDO YATOA MIKOPO YA SHILINGI MILIONI 180 KWA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU

AMSHITAKI MMEWE KWA WAZIRI MKUU "ANAJINYEA TU" Wananchi Wavunjika Mbavu

