HISTORIA YA WARANGI NA IRANGI YAO
WARANGI Wamasai wanawaita "Kimalandu" waswahili wanawaita "Warangi" lakini wao hujiita "Valangi' Kabila hili ni miongoni mwa makabila yaliyoingia nchini Tanzania yakitokea kaskazini. Kupitia "Mjikenda" kwa sasa "Kenya" Kituo cha awali cha Warangi ni "milima ya Irangi" hasa katika kijiji cha Haubi. Historia inaonesha kuwa Warangi walianza kutawanyika wakitokea hapo. IRANGI. Hili ni eneo ambalo ni makazi ya kabila la warangi. Eneo hili limegawanyika ktk sehemu kuu mbili Sehemu ya Kwanza ni Ukanda wa safu za milima inayoanzia Kondoa mjini kuelekea kaskazini hadi Bonga karibu na mji wa Babati mkoani Manyara. HILI eneo huitwa irangi ya juu. Safu hizi za Milima huitwa milima Kolo. Sehemu ya Pili ni ni tambarare ya mashariki inayoanzia Busi hadi wilaya ya Handeni, Kwa kaskazini bonde linaanzia Mnenia hadi Kilimanjaro. Kwa upande wa magharibi ni kuanzia bonde la mto Bubu hadI Singida. Na kusini ni kuanzia mji wa Kondoa hadi kuungana na bonde la Rufiji. Katika safu hizi za milima Kolo kuna vilele mashuhuri katika ukanda wa Haubi vyenye baridi kali. Pia kuna Kilele cha mlima mrefu wa Ncholincholo ulioko kati ya kijiji cha Kolo na Mnenia ambako kuna nyayo za binadamu aliyekanyaga kwenye mawe ambazo bado zinaonekana mpaka sasa, Pia kuna mlima Kaha ambao ni mlima mrefu ulio kati ya Bolisa, Hachwi na Changaa. Katika eneo hili la milima inayozunguka kijiji cha Bolisa ndiko kuliko na michoro mingi ya mapangoni. ...............

UFAHAMU URITHI WA DUNIA UNAOPATIKANA KONDOA TANZANIA | Zamadamu Tanzania:

Je, Wairaqw wa Tanzania wana asili ya Kiarabu? | GUMZO NA WALIMU WETU

Huu ndo Upekee wa Makumbusho ya Kolo Kondoa Sehemu ya 3 - Zamadamu Tanzania

Usilolijua juu ya Historia ya kabila la Wairaqw waishio Manyara

When Tyson Faced a Country Boy

TOP 10 YA MAKABILA YENYE WANAWAKE WAREMBO HAYA HAPA, UTASHANGAA

Kabila la Wairaq - Kaskazini mwa Tanzania

KAMA MGOGO KWELI UNALIJUA JANDO, UNYAGO?

SHEIKHE IDRISA NKUSA SIKIYA ALIVYOWAUSIYA WAHUNI, NA QISWA CHA WANYAMA NA BINADAM, KIJIJIN KEYI KEYI

ASILI NA CHIMBUKO LA KABILA LA WARANGI WA KONDOA PART ONE

KIJANA INAKUHUSU........!!!!!!!!!!!

MAKABILA 10 TANZANIA AMBAYO UKIOA MWANAMKE HAMUACHANI MPAKA MFARIKI DUNIA LIST RASMI IMETOKA

Kondoa Mji Wazindua Upandaji wa Miche ya Tunda la Tufaa (Apple)

WAZIRI AKATA MAUNO WAKIIMBA NYIMBO YA KIRANGI...

BALAAA LA PM KWA WATUMISHI 4 WALIOIBA MIL.500 MANYONI/ AAGIZA WAKAMATWE POPOTE WALIPO

PLO LUMUMBA SHOW:THE EMPIRE OF ZULU

Madam Rita Afunguka Asili Yake Na Alipozaliwa "Nina Makabila Matatu" | SALAMA NA MADAM RITA PT 1

Halmashauri Yaendelea Kutatua Kero za Wananchi Kondoa Mjini

Maxaa Loo Yiri Koonfurtu Buuro Maleh ?!!

