Alikiba - Mshumaa (Lyrics)

Alikiba - Mshumaa (Lyrics) Listen here : ⚠️Kindly Email: [email protected] for more information, thank you. 🔔Subscribe to see the latest song we upload🔔 Follow Artist On: ►instagram.com/kingsmusicrecordsaudiomack.com/artist/alikibatwitter.com/officialalikiba Lyrics: [Verse 1] Ule ugonjwa ulioniacha nao, Bado sijapona Hata mapenzi ulioniacha nayo, Yamebaki jina Hospitali oh, Za dunia nzima Nimezunguka kote, Wamepima majibu hakuna [Pre Chorus] Hata ngoma sina(Sina oh) Pressure sina(Sina eh) Ugonjwa sina(Sina) Jina lako ninalo Uwepo wako Ndo ulikuwa wangu uzima Naona giza (Ungeniacha hata na mshumaa) [Chorus] Alioo iyo Nakumiss… Tena! Tutonana Tena! Hata Mungu akipanga leo Tena! Nikufe kesho Tena! Tutaonana tena Tena! Ifike kesho uliamba Tena! Waniweke kwa mchanga Tena! Nikufe kesho Tena! Ali oh [Verse 2] Labda nikukumbushe, nilipokuvisha pete Ulisema machache, Hauniachi mpaka nife [Pre Chorus] Maana ngoma sina(Sina oh) Pressure sina(Sina eh) Ugonjwa sina(Sina) Jina lako ninalo Uwepo wako Ndo ulikuwa wangu uzima Mi naona giza (ungeniacha hata na mshumaa) [Chorus] Alioo iyo (iyo) Nakumiss (iye iye) Tеna! Tutonana Tena! Hata Mungu akipanga leo Tena! Nikufе kesho Tena! Tutaonana tena Tena! Ifike kesho uliamba Tena! Waniweke kwa mchanga Tena! Nikufe kesho Tena! Ali oooh [Outro] Tiriri tirara tata Tarari tara (tarata taruru tata) Tiririri tirara Tororororo Tororororo Ali oh Ali oh Ali Ali oh Tag! #mshumaa #alikiba #bongolyrics #mshumaalyrics