Hawa Hapa Washindi Uchaguzi wa Wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki

Cosato Chumi, Kambarage Wasira na Fatma Kange wamechaguliwa leo Mei 4, 2026 kuiwakilisha Tanzania katika Bunge la jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) baada ya kupigiwa kura na wabunge wa Bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania jijini Dodoma. Uchaguzi huu mdogo umefanyika kuziba nafasi zilizoachwa wazi na wabunge watatu wa zamani wa EALA ambao ni James Ole Milya, Dk. Ngwaru Maghembe na Angela Kizigha ambao kwa mujibu wa sheria ya jumuiya ya Afrika Mashariki, mtu aliyechaguliwa au kuteuliwa kuwa Mbunge wa Bunge la nchi yake hawezi kuendelea kutumikia EALA.

Sikia Kiingereza cha mtoto wa Wasira akiomba kura Bungeni Dodoma
▶︎

Sikia Kiingereza cha mtoto wa Wasira akiomba kura Bungeni Dodoma

WANAO TAKA KUANDAMANA WAZIRI MKUU AWAJIA JUU, HATUNA UGOMVI NA VYAMA VYA SIASA
▶︎

WANAO TAKA KUANDAMANA WAZIRI MKUU AWAJIA JUU, HATUNA UGOMVI NA VYAMA VYA SIASA

DUUH!! JUMALOKOLE AZUA GUMZO KUTIA NENO KWENYE JIBU LA WEMA KUHUSU MSHONO WAKE
▶︎

DUUH!! JUMALOKOLE AZUA GUMZO KUTIA NENO KWENYE JIBU LA WEMA KUHUSU MSHONO WAKE

Unity Club Meeting | Opening Remarks by President Kagame | Kigali, 27 June 2026
▶︎

Unity Club Meeting | Opening Remarks by President Kagame | Kigali, 27 June 2026

LIVE: UCHAGUZI WA WABUNGE WA AFRIKA MASHARIKI, WANAJIELEZA KWA KINGEREZA BUNGENI
▶︎

LIVE: UCHAGUZI WA WABUNGE WA AFRIKA MASHARIKI, WANAJIELEZA KWA KINGEREZA BUNGENI

Agasarabwayi, Kick ... inzoga zananiranye gutuzwa mu burundi| BBC News Gahuza
▶︎

Agasarabwayi, Kick ... inzoga zananiranye gutuzwa mu burundi| BBC News Gahuza

President Ruto's Speech to the Tanzanian Parliament | Mwanzo-Mwisho Hotuba ya Ruto Bunge la Tanzania
▶︎

President Ruto's Speech to the Tanzanian Parliament | Mwanzo-Mwisho Hotuba ya Ruto Bunge la Tanzania

Perezida Kagame yavuze kuri Kayumba, Karegeya, Rudasingwa n’abandi | Ukuri kw’amateka no kwicuza
▶︎

Perezida Kagame yavuze kuri Kayumba, Karegeya, Rudasingwa n’abandi | Ukuri kw’amateka no kwicuza

HOTUBA YA MHESHIMIWA DKT. WILLIAM SAMOEI RUTO, RAIS WA JAMHURI YA KENYA
▶︎

HOTUBA YA MHESHIMIWA DKT. WILLIAM SAMOEI RUTO, RAIS WA JAMHURI YA KENYA

TAZAMA KIINGEREZA CHA MTOTO WA WASIRA BUNGENI AKIOMBA UBUNGE AFRIKA MASHARIKI
▶︎

TAZAMA KIINGEREZA CHA MTOTO WA WASIRA BUNGENI AKIOMBA UBUNGE AFRIKA MASHARIKI

Heche Amshukia Patrobasi Katambi Kufungia Mikutano: 'Hauna Mamlaka Hayo'
▶︎

Heche Amshukia Patrobasi Katambi Kufungia Mikutano: 'Hauna Mamlaka Hayo'

LIVE WAZIRI WA AFYA MH. MOHAMED MCHENGERWA ANAWASILISHA BAJETI YA WIZARA YA AFYA 2026/2027 BUNGENI
▶︎

LIVE WAZIRI WA AFYA MH. MOHAMED MCHENGERWA ANAWASILISHA BAJETI YA WIZARA YA AFYA 2026/2027 BUNGENI

Hon Odonga Otto says that MK is a Dangerous Man and he wants to call and talk to M7
▶︎

Hon Odonga Otto says that MK is a Dangerous Man and he wants to call and talk to M7

🔴#TBCLIVE: RAIS RUTO KUHUTUBIA BUNGE LA TANZANIA LEO
▶︎

🔴#TBCLIVE: RAIS RUTO KUHUTUBIA BUNGE LA TANZANIA LEO

Waziri Mkuu—Kufungia Mikutano Sio Ugomvi na Vyama vya Siasa: 'Tunataka Tushughulike na Wahalifu'
▶︎

Waziri Mkuu—Kufungia Mikutano Sio Ugomvi na Vyama vya Siasa: 'Tunataka Tushughulike na Wahalifu'

WAZIRI MKUU AMJIBU MAKONDA KUHUSU CHAMA KUPEWA URAIA WA TANZANIA/"MWAMBIE APUNGUZE KUFUNGA MAGOLI"..
▶︎

WAZIRI MKUU AMJIBU MAKONDA KUHUSU CHAMA KUPEWA URAIA WA TANZANIA/"MWAMBIE APUNGUZE KUFUNGA MAGOLI"..

BUNGE LA BAJETI  | UCHAGUZI WA WABUNGE JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI | 04/05/2026
▶︎

BUNGE LA BAJETI | UCHAGUZI WA WABUNGE JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI | 04/05/2026

Bunge Lajadili na Kupitisha Kifungu kwa Kifungu Muswada wa fedha 2026
▶︎

Bunge Lajadili na Kupitisha Kifungu kwa Kifungu Muswada wa fedha 2026

LIVE : BUNGE LALIPUKA! KAULI ZA WAITARA | RAIS SAMIA ATUMBUA EWURA !
▶︎

LIVE : BUNGE LALIPUKA! KAULI ZA WAITARA | RAIS SAMIA ATUMBUA EWURA !

LIVE! President Ruto's HISTORIC ADDRESS to Tanzanian Parliament
▶︎

LIVE! President Ruto's HISTORIC ADDRESS to Tanzanian Parliament