Tadbtz yawezesha wanawake na vijana katika Ufugaji ng’ombe wa maziwa

@tadbtz Ni #WCW Kwetu sisi tuna ‘Crush’ kwa wanawake hawa wapambanaji wanaojishughulisha na ufugaji wa ng’ombe wa maziwa. Ufugaji ng’ombe wa maziwa ni moja ya shughuli ya kiuchumi inayowezesha wanawake na vijana kunufaika na kujiongezea kipato. Pia huwezesha kaya kupata lishe kutokana na virutubisho vinavyopatikana katika maziwa.