Ripoti ya Mchanga wa Dhahabu, Rais Magufuli Amfukuza Kazi Waziri Muhongo, Awatumbua TMAA

Kamati iliyoundwa kuchunguza Mchanga wa Dhahabu, imemkabidhi Rais Magufuli ripoti yake ambayo inaonesha kumekuwa na ufisadi mkubwa kwenye suala la usafirishaji wa mchanga huo, ambapo kiwango kikubwa cha dhahabu kimekuwa kikitoroshwa kwenye mchanga huo. Visit https://globalpublishers.co.tz/, Subscribe    / uwazi1   Rais Magufuli, pamoja na hatua nyingine, amemtaka waziri wa nishati na madini, Sospeter Muhongo aachie ngazi, pia amemfuta kazi mkurugenzi mtendaji wa TMAA, amevunja bodi ya TMAA na kutaka wafanyakazi wote wa TMAA wachunguzwe na vyombo vya ulinzi na usalama. Visit https://globalpublishers.co.tz/, Subscribe    / uwazi1   Rais Magufuli ameonesha kusikitishwa mno na ripoti hiyo ambayo imebainika kwamba kiwango kikubwa cha madini kinachotoroshwa nje ya nchi. Visit https://globalpublishers.co.tz/, Subscribe    / uwazi1   Ameagiza vyombo vya ulinzi na usalama kuhakikisha vinalinda madini yasitoroshwe na amepiga marufuku usafirishwaji wa mchanga huo nje ya nchi. Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya…    / uwazi1      / uwazi1      / uwazi1  

A - Z Luhaga Mpina Akizungumza na Vyombo vya Habari Kuhusu Ya Oktoba 29 na Ubadhirifu wa Rasilimali
▶︎

A - Z Luhaga Mpina Akizungumza na Vyombo vya Habari Kuhusu Ya Oktoba 29 na Ubadhirifu wa Rasilimali

HOTUBA YA RAIS MAGUFULI BAADA YA KUPOKEA RIPOTI YA UCHUNGUZI WA MADINI YA ALMASI NA TANZANITE
▶︎

HOTUBA YA RAIS MAGUFULI BAADA YA KUPOKEA RIPOTI YA UCHUNGUZI WA MADINI YA ALMASI NA TANZANITE

PROF. NEHEMIAH  OSORO ASOMA RIPOTI YA KAMATI MAALUM YA PILI YA KUCHUNGUZA MASUALA YA MADINI
▶︎

PROF. NEHEMIAH OSORO ASOMA RIPOTI YA KAMATI MAALUM YA PILI YA KUCHUNGUZA MASUALA YA MADINI

WAUZA MAGARI MAARUFU WASHANGAA SERIKALI KUNUNUA COSTA MOJA kwa MILIONI 300!..
▶︎

WAUZA MAGARI MAARUFU WASHANGAA SERIKALI KUNUNUA COSTA MOJA kwa MILIONI 300!..

HOTUBA YA JPM SUA: "Mimi Sio Kilaza"
▶︎

HOTUBA YA JPM SUA: "Mimi Sio Kilaza"

MAGUFULI REFUSED TO FIRES OCD - "I'M NOT GIVING, WHAT DID YOU WANT HIM TO DO?"
▶︎

MAGUFULI REFUSED TO FIRES OCD - "I'M NOT GIVING, WHAT DID YOU WANT HIM TO DO?"

REBROADCAST | EFF President Julius Malema speaks to JJ Tabane
▶︎

REBROADCAST | EFF President Julius Malema speaks to JJ Tabane

Jaji Warioba Aongea: Ripoti ya Chande, Maridhiano, Katiba, Aonya Kuzuia Mawazo: Watanzania Wanaogopa
▶︎

Jaji Warioba Aongea: Ripoti ya Chande, Maridhiano, Katiba, Aonya Kuzuia Mawazo: Watanzania Wanaogopa

RAIS MAGUFULI ALIVYOKWENDA BENKI KUU BILA KUWATAARIFU
▶︎

RAIS MAGUFULI ALIVYOKWENDA BENKI KUU BILA KUWATAARIFU

HOTUBA YA RAIS  DKT.JOHN POMBE MAGUFULI KWENYE UZINDUZI WA UKUTA WA MIRERANI.06 APRILI 2018
▶︎

HOTUBA YA RAIS DKT.JOHN POMBE MAGUFULI KWENYE UZINDUZI WA UKUTA WA MIRERANI.06 APRILI 2018

KASHESHE IRINGA: KIENDACHO KWA MGANGA HAKIRUDI ILA IRINGA KINARUDI
▶︎

KASHESHE IRINGA: KIENDACHO KWA MGANGA HAKIRUDI ILA IRINGA KINARUDI

MBUNGE WA KATAVI AVUNA PESA BUNGENI BAADA YA KUGONGA NONDO ZITO JUU YA UVUNJIFU WA MAADILI.
▶︎

MBUNGE WA KATAVI AVUNA PESA BUNGENI BAADA YA KUGONGA NONDO ZITO JUU YA UVUNJIFU WA MAADILI.

Sababu za madini kutoroshwa hizi hapa
▶︎

Sababu za madini kutoroshwa hizi hapa

MZEE AMPA ZAWADI YA JOGOO RAIS DKT. MAGUFULI
▶︎

MZEE AMPA ZAWADI YA JOGOO RAIS DKT. MAGUFULI

RIPOTI KAMILI YA JPM ALIVYOKUTANA NA BOSS WA BARRICK
▶︎

RIPOTI KAMILI YA JPM ALIVYOKUTANA NA BOSS WA BARRICK

HOTUBA YA RAIS DKT MAGUFULI BAADA YA KUPOKEA TAARIFA YA UCHUNGUZI WA MCHANGA WA DHAHABU
▶︎

HOTUBA YA RAIS DKT MAGUFULI BAADA YA KUPOKEA TAARIFA YA UCHUNGUZI WA MCHANGA WA DHAHABU

Walininywesha Sumu, Nilitaka Kujiuzulu...Magufuli asimulia, almanusura imtoe uhai wake
▶︎

Walininywesha Sumu, Nilitaka Kujiuzulu...Magufuli asimulia, almanusura imtoe uhai wake

Sudan Crisis EXPOSED | Why Foreign Powers Are Fighting Over Africa's Ports
▶︎

Sudan Crisis EXPOSED | Why Foreign Powers Are Fighting Over Africa's Ports

MAGUFULI: Nimejitolea maisha yangu kwa ajili ya Watanzania
▶︎

MAGUFULI: Nimejitolea maisha yangu kwa ajili ya Watanzania

Përplasje e fortë për Zvërnecin! Populli revoltë në shesh, Rama e Berisha bashkë për investimin-TPZ
▶︎

Përplasje e fortë për Zvërnecin! Populli revoltë në shesh, Rama e Berisha bashkë për investimin-TPZ