PAPA FRANCIS AMVUA UPADRI PADRE ALIYEBAINIKI KUWA na MTOTO wa MIAKA 10 ALIYEMPATA AKIWA PADRE...
PAPA FRANCIS AMVUA UPADRI PADRE ALIYEBAINIKI KUWA NA MTOTO WA MIAKA 10 ALIYEMPATA AKIWA PADRE... Padre Munyeshyaka raia wa Rwanda aliyekuwa akihudumu katika Parokia ya Evreux Kaskazini kwa Ufaransa amefutiwa upadri na hakubaliki tena kuhudumu popote duniani kwa kosa la kukiri kuwa na mtoto wa miaka kumi. Padri Munyeshyaka pia anahitajika nchini Rwanda kwa makosa ya mauaji ya kimbari nchini humo ya mwaka 1992 wakati akihudumu kama padri wa parokia moja mjini Kigali wakati wa vita vya wenyewe kwa wenyewe. Papa Francis amemvua upadri mzaliwa huyo wa Rwanda ambaye amekuwa akihudumu kama Kasisi huko Kaskazini mwa Ufaransa kwa takriban miongo mitatu sasa. ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/ ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136) ⚫️ Email: [email protected] OR [email protected] ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo na Burudani Tanzania! ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua ⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews ⚫️ Subscribe Global TV http://bit.ly/globaltvonline

Mazungumzo na Mama Anna Tibaijuka: Oktoba 29 | Sakata la Yuda |Tanganyika-Zanzibar| Kesi Tundu Lissu

SIRI YAFICHUKA SIKU MOJA KABLA YA KIFO CHA HAYATI MAGUFULI MABEYO AWEKA WAZI/AMTAJA WAZIRI MKUU

Padre Dkt Faustin M Kamugisha - Hatupangi Kushindwa, Tunashindwa Kupanga Morning (AESL12)

🔴#LIVE:ZUIO MIKUTANO YA VYAMA VYA SIASA LAIBUA MJADALA/VYAMA VYAHOJI/NINI KINAFUATA?/KUHOJIWA/KAMATI

MAELFU WAMZIKA PADRI ALIYEUAWA NA 'KICHAA' KANISANI,MAPYA YAIBUKA "ALIJIUNGA NA JESHI"

HISTORIA YA PADRE PIO WA KANISA KATOLIKI

ANAPOISHI MTU MZIMA MWENYE MWILI WA MTOTO/WANANISHANGAA/MIMI NI ENGINEER WA UMEME

USIYOYAJUA KUHUSU DK. SLAA; ALIVYOMGOMEA SUMAYE, AKAVAANA NA RAIS KIKWETE, LOWASSA, MKAPA NA ROSTAM

KIJANA ANAYEHUDUMIA MAMA YAKE MLEMAVU BAADA YA BABA KUMFANYA DADA WA KAZI KUWA MKE AFUNGUKA MAZITO

🔴#Live:KINACHOENDELEA KIFO cha PAPA FRANCIS- AFARIKI AKIWA na MIAKA 88- MCHAMBUZI ACHAMBUA KIFO YAKE

Unity Club Meeting | Opening Remarks by President Kagame | Kigali, 27 June 2026

Tanzania yapiga marufuku mikutano ya kisiasa. Katika Dira ya Dunia TV

BOBCAT: BAHARIA ALIYE ZAMIA ULAYA/ "WAMENIHARIBIA MAISHA"/ SITASAHAU.

BALAA LA MAMA JOHN HECHE AFUNGUKA MAZITO YA WATOTO WAKE, KUMBE NI TABIA ZA BABA YAO, "ALIKUWA MTATA"

Perezida Kagame yavuze kuri Kayumba, Karegeya, Rudasingwa n’abandi | Ukuri kw’amateka no kwicuza

MARUDIO: PADRE NKWERA ALIVYOSABABISHA UKRISTO WA MWANDISHI WA HABARI

#LIVE ADHIMISHO LA MISA TAKATIFU KUMUOMBEA MAREHEMU PD.LUI BOTO NDAKIDEMI 1945-2024 PUMZIKO LA AMANI

FATHER NKWERA TO BE BURIALED IN CATHOLIC FORM | HE WAS EXCLUDED FROM THE CATHOLIC CHURCH

Vatican yathibitisha Uteuzi wa Kardinali Rugambwa na wenzake 20, Watawekwa wakfu 30 Sept. 2023

