WAZIRI MBARAWA ATINGA BANDARI YA KIGOMA, ATOA MAAGIZO HAYA
#ikulumawasiliano #ikuluzanzibar #ccm #samiasuluhuhassan #habarimaelezo #ktnnews #wizarayahabari #wizarayakilimo #wizarayaafya #wizarayaulinzi WAZIRI wa ujenzi na uchukuzi Prof. Makame Mbarawa amesema kuwa ujenzi wa gati la kuegeshea boti kubwa katika bandari ya Kibirizi mkoani Kigoma unatarajia kuchochea biashara baina ya Tanzania na nchi za ukanda wa maziwa makuu. WAZIRI Mbarawa amesema hayo alipofanya ziara ya siku moja kutembelea bandari za kibiriza na Ujiji mkoa Kigoma akiwa kwenye ziara ya siku tatu mkoani Kigoma na kubainisha kuwa huo utekelezaji wa mradi huo utaongeza maradufu usafirishaji wa shehena na abiria kwenda kwenye nchi hizo sambamba na kuongeza mapato ya serikali. Follow us on: FACEBOOK; SpotiLeo: / spotileo-176. . HabariLeo: / habarileo DailyNews: / dailynewstz INSTAGRAM; HabariLeo: https://instagram.com/habarileo_tz?ig... SpotiLeo: https://instagram.com/spotileo?igshid... TWITTER; Twitter HabariLeo: https://twitter.com/HabariLeo?s=09

RAIS WA SINGAPORE AWASILI

HILI HAPA SHANGWE LA GEITA GOLD BAADA YA KUREJEA LIGI KUU

GETI LA KANISA LAVUNJWA ZNZ, WAUMINI WAVUNJA CHUMBA CHA JIRANI, WADAI KELELE USIKU KUCHA

WAZIRI MKUU ANAZUNGUMZA NA WAKAZI WA IFUNDA-IRINGA

RAIS DKT. SAMIA AKIMPOKEA RAIS SHANMUGARATNAM WA SINGAPORE, IKULU DAR ES SALAAM | 9 JUNI, 2026

What I discovered about BURUNDI 🇧🇮 (and nobody talks about it)

WAZIRI MKUU ANAZUNGUMZA NA WAKAZI WA MAFINGA MJINI-IRINGA

VITUNGUU SWAUMU EKARI MOJA FAIDA MILIONI 40 MIEZI 4 VANILLA VILLAGE NJOMBE 0629300200

Mwerekera wa ũteti Bũrũri-inĩ; #Kĩmũrĩ

🔴 #LIVE:- UFUNGAJI WA KOZI YA MAAFISA WANAFUNZI MKUPUO WA 06 2024/2025

EMBE ZA MUYUNI ZANZIBAR ZAZUA BALAA ''utakachojibiwa hukitaki, una majibu Mfukoni''

MAKALA MAALUM YA USIYOYAJUA KUHUSU TABORA NYAKATI ZA USIKU - SEHEMU YA KWANZA

UFAFANUZI WA TAHARUKI ILIYOTOKEA ZANZIBAR, GARI LA POLISI LAPIGWA MAWE, RAIA WAWILI WAFARIKI

Hoja za ACT zampa presha Rais Mwinyi atumia mkutano na waandishi wa habari kuwajibu Jussa na wenziwe

#ZANZIBAR KUWA NCHI YA KWANZA UKANDA WA AFRIKA MASHARIKI

PROF. SHEMDOE ATOA MAAGIZO HAYA KWA WALIMU

APART FROM YOU BEING A SENATOR, WE'RE KENYANS. Gov.Lati meets Sifuna eye to eye after fracas arrest

Zanzibar, eneo na mipaka yake kwa mtazamo wa kisheria na kihistoria-URITHI WETU (Episode 1):

''ZANZIBAR IPEWE NAFASI'' MBUNGE KING ashusha PONTI kuhusu MUUNGANO

