Ikiwa wananiuliza msingi wa uzima by DailyHymn

Book: Nyimbo za wokovu /11 Lyrics 1 Ikiwa wananiuliza msingi wa uzima, Je, twahitaji kuongeza kwa kazi yake Yesu? Kwa uhodari nitajibu: Msingi wangu ni wa nguvu, ni damu yake Yesu Kristo, inanitosha sana. 2 U mwamba wa zamani sana, daima utadumu. Na hata siku nitakufa, nitautegemea. Nitakapoondoka huku, nitamsifu mwana kondoo, na damu ya Mwokozi wangu, funguo la mbinguni.