USIKUBALI KUWA KILAZA MBEYA NZIMA HII NDIO SHULE BORA RC HOMER AKAGUA UJENZI WA SHULE YA MKOA KYELA
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Cde: Juma Homera amewataka Viongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela na Kamati ya Ujenzi kukamilisha haraka Ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana Busale iliyoko Kata ya Busale Halmashauri ya Wilaya ya Kyela ili Wanafunzi waanze Masomo itakapofika Mwezi March(Wa tatu 2024). Mbali na Agizo hilo RC Homera amepongeza Juhudi na jitihada zinazofanywa na Viongozi hao wa Halmashauri na kuwaasa kutochoka kuendeleza Mapambano ya kukuza Elimu ikiwa ni Moja ya Sera ya Serikali ya kukuza na kuboresha Viwango vya Elimu nchini. Homera baada ya Kufika Shuleni hapo ameridhishwa na Utendaji Kazi wa Jopo zima la Wasimamizi wa Mradi huo huku akimmwagia Sifa Mtu aliyependekeza eneo la Kujenga Shule hiyo kuchagua eneo zuri lenye Mazingira mazuri ambapo anaamini kupitia hilo Wanafunzi watafaulu kwa kiasi Kikubwa. Bi Josephine Mohammed Mkuu wa Wilaya ya Kyela Amesema bado Wataendelea Kusimamia Ujenzi huo Usiku na Mchana kuhakikisha Unakamilika kwa Wakati ili Wanafunzi waanze Masomo Yao Mapema.

Ujenzi wa Shule ya Wasichana ya Mkoa wa Mbeya Kyela RC Homera atia timu akiwa na Mbunge na DC

RC Homera: Awasimamisha kazi Walimu wa 5, Wahandisi na Afisa Manunuzi Kyela. kupisha Uchunguzi

Madereva wa Costa Mbeya Kyela Wawagomea Matajiri wao

Meya wa Jiji la Mbeya na Wananchi wamtimua kazi Mkandarasi RC. Homera abariki

BREAKING! SAMIA KUMNG'OA NCHIMBI PUNDE | HOJA YA KUTOKUWA NA IMANI NA MAKAMU KUWASILISHWA BUNGENI

Tazama Eneo jipya la Viwanda Mafinga Mji / Kamati ya Siasa ya Wilaya ya Mufindi wakagua

RC MRINDOKO AIPONGEZA TANGANYIKA DC KWA KUTENGA ENEO LA MAONESHO YA NANENANE.

DC SONGWE ASIMAMISHA SHUGHULI ZA UCHIMBAJI WA MADINI KATA YA SAZA KUPISHA UCHUNGUZI.

JOHN HECHE PT2: MBOWE NI CHADEMA, MDEE SIO / NAMSHANGAA MSIGWA / KUNA WANACCM WAZURI / LISSU AACHIWE

ALIEKUWA MKUU WA MKOA WA MBEYA DKT, JUMA HOMERA AKIWASILI MKOANI MBEYA

ADHULUMIWA LAKI NNE NA ASKARI POLISI, NAOMBA MSAADA MKUU WA MKOA

Mradi wa barabara njia nne mbeya jiji

Ifahamu KYELA, Tazama ilivyoendelea sasa ni BALAA

WAZIRI MAVUNDE ASITISHA SHUGHULI ZA UCHIMBAJI WA MADINI BAADHI YA MACHIMBO KATAVI

Mh: Juma Zuberi Homera mkuu wa mkoa Mbeya akizungumza na wakuu wa wilaya.

MASANJA: JINSI YA KUPATA MCHELE GRADE 1 MASHINENI (shamba tour)

10 February 2026

Dangerous Pakistani Factory Works FORGING the World’s Largest Industrial Gear | Full Process

DUU!! MATAJIRI 8 KYELA KUKAMATWA/WADAIWA KUHUSIKA NA MTANDAO HUU MKUBWA/VIONGOZI 58 NAO WAKAMATWA

