Uwekaji wa jiwe la Msingi Bandari Jumuishi ya Mangapwani. #foryou #zanzibar #tanzania #views

Mazungumzo ya Mh Dkt: Khalid Salum Mohammed,Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Zanzibar wakati wa maandalizi ya uwekaji wa Jiwe la Msingi katika Bandari Jumuishi ya Mangapwani, Bandari hii inatarajiwa kuifungua zaidi Zanzibar kiuchumi kupitia sekta mbalimbali za Uwekezaji katika Bandari hii.