Miaka 1000 (Elfu moja) ya utawala wa Yesu Duniani - Bishop Zachary Kakobe.

Miaka 1000 (Elfu moja) ya Utawala wa Yesu Duniani. Somo la 5 (Tano) kati ya Masomo ya Matukio ya mwisho wa Dunia, yaliyofundishwa na Mtumishi wa Mungu kwa Askofu Zakary Kakobe wa kanisa la Full Gospel Bible Fellowship Tanzania, kwa maongozi ya Roho Mtakatifu.