Mwanachuo auawa kwa kuchomwa na kisu hosteli Morogoro, wenzake wafunguka kwa huzuni
Mwanafunzi wa Chuo cha Mtakatifu Joseph kilichopo Manispaa ya Morogoro, Hajrat Shaban ameuawa baada ya kuvamiwa akiwa kwenye hosteli za chuo na kuchomwa kisu, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Alex Mkama leo Jumatano Aprili 17, 202. Kamanda Mkama amesema tukio hilo limetokea eneo la Mkundi jana Aprili 16, 2024 ambapo marehemu alichomwa kisu sehemu mbalimbali za mwili wake na kusababisha kifo. “Tunafanya uchunguzi wa kifo cha Hajrat Shaban (22) mwanafunzi wa Chuo cha Mtakatifu Joseph kilichopo Mtaa wa Bwawani Kata ya Mkundi, tukio hilo lililotokea Aprili 16, 2024 majira ya saa 2:00 usiku. “Tukio limetokea wakati binti huyo na wenzake wakiwa katika makazi yao ya pamoja (hosteli) ambapo walimkamata kijana mmoja aliyekuwa amekwapua simu, walipojaribu kumdhibiti ndipo alimjeruhi marehemu kwa kumchoma na kisu. Kabla ya hapo alipelekwa Zahanati iitwayo Habemes ambapo alifariki dunia wakati akipatiwa matibabu,”amesema Kamanda Mkama.

#PART2: ''MWANAUME AKISALITI BASI MWANAMKE UNA TATIZO, HUNA HADHI'' - DR ELLIE | HARD TALK

MFANYABIASHARA ATAPELIWA MAMILIONI DUKANI KWAKE,JAMAA KAJA NA SLIP YA BENKI FEKI "SIKUJUA NIMEPIGWA

በመጨረሻም የDNA ውጤት ተገለፀ! የ13 ዓመት ትዳር መጨርሻው ይህ ሆነ! Eyoha Media |Ethiopia | Habesha

WAZIRI MWIGULU AZUA TAHARUKI BUNGENI | HECHE NA WANAHARAKATI HALI TETE | TOKENI MBELE MUANDAMANE

MREMBO MARYAM MWANAFUNZI WA CBE, ANAPENDA MICHEZO HATARI YA PIKIPIKI "WENGI WANASHANGAA NA HUVUTIWA"

🔴#Live: SAKATA la RIAL 480 OMAN - DADA AFICHUA UKWELI - "NILIKUWA NAMUHONGA KAKA ILI ANIOE"..#mapito

🔴#LIVE: CHADEMA WAITIKISA MPANDA MJINI WASEPA NA KIJIJI, HECHE,MNYIKA, WAUWASHA MOTO

Dritan Goxhaj i pergjigjet Rames/ Del grupi organizator i protestes -5 pikat që mishërojne protesten

#BREAKING: WAZIRI KATAMBI APIGA STOP CCM - CHADEMA KUFANYA MIKUTANO - TISHIO LA MAANDAMANO SABASABA

EXCLUSIVE INTERVIEW: KUMBE ANKO MAFIX UONGO ALIANZIA SHULE

"DON'T THREATEN ME": HECHE RESPONDS TO MINISTER KATAMBI IN MPANDA, Reveals the Whole Story

"Mtoto aliacha mlango wazi ili mama yake akirudi asimsumbue kuufungua" Majirani waeleza

Congo: Jungle Couriers | The roads of the impossible

🔴LIVE:SERIKALI KWENYE HOJA NZITO na CHADEMA KUHUSU KATIBA MPYA/TUME ya JAJI LILA YATAKIWA MAHAKAMANI

MKEWE LISSU ASHINDWA KUZUIA MACHOZI AKIONGEA MBELE YA KAMATI YA HAKI ZA BINADAMU YA JUMUIYA YA ULAYA

KIMEUMANA MUSUKUMA VS MWIGULU “HII NI DHARAU HIVI MNATUONAJE? MNATUPIGA SWAGA "LA SIVYO KITAUMANA”

WAMESHEA MUME MWAKA MMOJA BILA KUJUA | MOROGORO

Breaking News | ජනපති අනුර පාර්ලිමේන්තුව අමතා සිදුකළ විශේෂ කතාව | Anura Kumara Dissanayake #akd

MTOTO WA TAJIRI AMETOKEA KUMPENDA MWIZI ( 1 - 2 ) FULL HD 2024#lovestory

