MAJALIWA AWAHIMIZA VIJANA KUTUMIA FURSA ZA KIUCHUMI
Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema alimtaarifu Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuhusu ushiriki wake katika Kongamano la Tanzania ya Thamani, ambapo Rais alifurahishwa na hatua hiyo na kumtuma kufikisha salamu za kheri na baraka kwa Vijana wote walioshiriki. Akizungumza katika kongamano hilo, leo Juni 17, 2027 Majaliwa amewahimiza Vijana wa Kitanzania kutambua, kutumia na kunufaika na fursa mbalimbali za kiuchumi zilizopo nchini kupitia ubunifu, uwekezaji na ujasiriamali ili kujikwamua kiuchumi na kujenga maisha bora. Aidha, Majaliwa amemshukuru Rais Samia kwa kumuamini na kumteua kuwa Mshauri wa Rais wa Masuala ya Jamii, akieleza kuwa jukumu la kukutana na vijana, kusikiliza mawazo yao na kuwashauri ni sehemu ya majukumu aliyopewa. #MillardAyoUPDATES

ጠቅላይ ሚኒስትር ዐቢይ (ዶ/ር) በአፍሪካ ቀዳሚ የሆነውን የተቀናጀ የዲጂታል አገልግሎት መተግበሪያ ሲመርቁ ያስተላለፉት መልዕክት

RAIS DKT. SAMIA AKISHIRIKI KATIKA JUKWAA LA BIASHARA KATI YA TANZANIA NA NAMIBIA, DAR ES SALAAM

MAPYA SAKATA LA MALI ZA HANSPOPE WAKILI AFUNGUKA, WALIOGUSHI NYARAKA NA KUCHUKUA MKOPO BANK WADAKWA

በአፍሪካ ቀዳሚ ስንዴ አምራች ሀገር ኢትዮጵያ ሆናለች ETV | EBC | EBCDOTSTREAM

RAIS DKT. SAMIA AKIMPOKEA RAIS DKT. NETUMBO, IKULU DAR ES SALAAM | 20 JUNI, 2026

SAKATA LA UBAGUZI ZNZ, WAFANYA KAZI WA HOTELI WAFUNGUKA "KILICHOTOKEA SIYO UBAGUZI NI WIZI"

Peter Obi Refuses To Disclose 10,000MW Electricity Plan

#LIVE: HECHE, MNYIKA, BRENDA WAISIMAMISHA SONGEA MJINI, MOTO UNAWAKA MUDA HUU

WATUHUMIWA WANNE WAKIWEMO RAIA WA CHINA WAFIKISHWA MAHAKAMANI WAKWEPA KODI YA BILIONI TATU

ከአምባሳደር ጄኔራል ባጫ ደበሌ ጋር የተደረገ ቆይታ - ስለሃገር | ETV | EBC | EBCDOTSTREAM

TZ KUPELEKA WALIMU WA KISWAHILI NAMIBIA

Impamvu abasesenguzi bashingiraho baganisha u Rwanda mu bihugu bifite ubukungu buciriritse

WAZIRI MKUU DKT MWIGULU APIGA SIMU, AONGEA NA BODABODA MBEYA, AWAPA MILIONI 20

HECHE ASIMIKWA KUWA CHIFU WA WANGONI, WAZEE WATOA KAULI

NIFFER KUTOKA KUWA WINGA, MUUZA CHAKULA KARIAKOO HADI MFANYABIASHARA MKUBWA

WATU 28 WANUSURIKA KIFO AJALI YA BASI NJOMBE, ABIRIA AFUNGUKA "IMEZUNGUKA MARA TATU"

SHOCK PRESIDENT RUTO TO KIMANI ICHUNGWA AFTER HUMBLE IN STATEHOUSE DEFENDS PROTESTERS AS WARN POLICE

''Mimi ndio mwenye Zanzibar ID,''' WAZIR KITWANA AWASHUKIA DR NASSRA NA PROF OMAR

Julius Kipngetich, Group CEO of Jubilee Holdings | Full speech at Man Cave 6

