Msimamo wa Waziri Lukuvi kwa watanzania waishio nje kumiliki ardhi nchini
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Makazi William Lukuvi amesema anayeruhusiwa kumiliki ardhi nchini ni raia wa Tanzania pekee na kuongeza kwamba kwa watanzania waishio nje ya nchi na kuukana uraia wao nao hawataruhusiwa kumiliki ardhi bali watapewa ardhi kama ilivyo kwa wawekezaji kutoka mataifa mengine. William Lukuvi amesema mtu akishaukana uraia wa Tanzania hana haki tena kama raia wa Tanzania, hivyo ataruhusiwa kumiliki ardhi kama mwekezaji tu na siyo kama raia wa Tanzania. Lukuvi amesisitiza kuwa ardhi itabaki kuwa ya Watanzania tu na ameagiza mamlaka zota kuwasaka wale wote ambao wanamiliki ardhi kinyume na sheria za nchi.

▶︎
MSIBA: MAJONZI NA SIMANZI KUFARIKI MZEE ONYANGO, MTOTO WAKE NA RAFIKI YAKE WAZUNGUMZA

▶︎
KAULI NZITO ya WAZIRI LUKUVI Akitatua MGOGORO wa ARDHI "MNASUBIRI RAIS, NDIO AJE ACHIMBE VISIMA"

▶︎
SIRI ZA KUTISHA ZA SAMAKI HATARI DUNIANI, SUMU YAKE NI KIFO, UNAKUA KIPOFU, HUFANYI MAPENZI MIEZI

▶︎
Historia ya Hayati Luteni Jenerali Silas Mayunga Vita Vya Kagera.

▶︎
WAZIRI JERRY SILAA ATOA MAAGIZO KUSIMAMISHWA KWA MKURUGENZI WA MAENDELEO YA MAKAZI.

▶︎
WATU WASIOJULIKANA WASHAMBULIA GARI ILIYOBEBA WATALII ARUSHA, MWENYEKITI CHAMBULO AONGEA

▶︎
MAAMUZI YA LUKUVI KWA ALIYEDHULUMIWA MJENGO "NILIKUWA KICHAA"

▶︎
KIBARUO ARUSHA ANUSURIKA KUUAWA ADAIWA KUMBAKA MWANAMKE SHAMBANI, CHIPSI, SAMAKI, KITENGE VYAKUTWA

▶︎
ေသရေတာ့မယ့္ဆိုတာကို ကိုယ္တိုင္ခံစားၾကည့္မွ သိရတာဆိုတဲ့ မီးမီးခဲ

▶︎
Man Rescues a Mother Bald Eagle Caught on a Fence – Her Chick Waits Below

▶︎
Severe storms overnight cause widespread damage, Chicago-area power outages

▶︎
MARUFUKU KUTEMBEA NA BASTOLA NA KUMILIKI ARDHI ZANZIBAR “KWA MAMA KIZIMKAZI HAPA HAIPO”

▶︎
WAZIRI LUKUVI ATINGA NYUMBA ZA VIGOGO, ATOA MAAGIZO KWA DCI "LAZIMA ZIRUDI"

▶︎
MUME MBELE YA WAZIRI LUKUVI AMSHTAKI MKE WAKE KUUZA KIWANJA

▶︎
#UNDANI WA MIGOGORO YA ARDHI ZANZIBAR HUU HAPA.

▶︎
ADAIWA KUMUUA KAKA YAKE KWA KUMCHOMA KISU KISA KUKOSA UMEME NYUMBANI

▶︎
Raisi Mwinyi Ajibu hoja za Askofu Shao/Mwarobaini wa Sintofahamu ya Ardhi Zanzibar/Waislam,Wakristo

▶︎
"JWTZ, POLISI SIO AJIRA, UWEZI FUATA RISASI INAPOTOKEA"

▶︎
LIVE MKUTANO WA WAZIRI LUKUVI NA WANANCHI KUHUSU MAKAMPUNI YA UPANGAJI ARDHI

▶︎
