IBADA YA NDOA: Faustine & Parestico hatimae wamefunga ndoa Jumapili ya Oktoba 14 2018

Faustine Esau Mhigi ni miongoni mwa vijana wetu hapa FPCT Shalom Temple mjini Kahama waliojisajiri katika mfumo wa maalumu wa kuawatambua vijana wetu hapa kanisani, Oktoba 14 2018 siku ya Jumapili alifunga ndoa takatifu na binti toka kanisa la FPCT pale wilayani Ngara katika mkoa wa Kagera sehemu moja inayoitwa Benaco, karibu kuona video ilivyokuwa ibada ilivyokua