FADHILA ZA KUMSWALIA MTUME MUHAMMAD (S.A.W)

Tujuweni fadhila nyingi tunazopata kwa kumswalia mtume wetu muhammad (S.A.W), Sheikh Othman Maalim anatujuza katika Khutba yake ya Ijumaa iliofanyika Masjid Nour Muhammad (Kwa Mchina Mwanzo). Cameraman kutoka Al Hijra video production ni Nabil Ally