Muhtasari: 1 Samueli

Tazama video yetu ya muhtasari wa kitabu cha 1 Samueli, inayoelezea muundo wa fasihi ya kitabu hicho na mtiririko wake wa mawazo. Katika 1 Samueli, Mungu, kwa shingo upande, anainua wafalme watawale Waisraeli. Mfalme wa kwanza alifeli na mfalme wa pili anayechukua hiyo nafasi, Daudi, anakuwa mwaminifu. #BibleProject #Biblia #Samueli Wahusika Katika Utayarishaji wa Video: Timu Ya Utayarishaji Wa Toleo La Kiswahili Tai Plus Dar es Salaam, Tanzania Toleo la Asili la Kiingereza na Utayarishaji Wake BibleProject Portland, Oregon, USA