ALIYEMUUWA MKEWE KWA KUMCHOMA NA MKAA, KESI KUHAMIA MAHAKAMA KUU "WANAMLISHA SUMU YA MANENO"
Kesi ya mauaji inayomkabili mfanyabiashara, Hamis Said anayedaiwa kumuuwa mke kisha kumchoma moto kwa kutumia magunia mawili ya Mkaa, inatarajiwa kuanza kusikilizwa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salama, huku kukiwa na mashahidi 28 wa Upande wa Mashitaka. Mbali na mashahidi hao Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP) atawasilisha mahakamani hapo vielelezo sita ikiwemo ramani ya tukio la mauaji, maelezo ya onyo ya mshitakiwa, ungamo la mshitakiwa kwa mlinzi wa amani, hati ya kuhodhi mali, ripoti ya Mkemi Mkuu wa Serikali. Hakimu Mkazi Mkuu, Richard Kabate alisema kesi hiyo itasikilizwa Mahakama Kuu na kwamba ushahidi dhidi yake utatolewa naye atapata nafasi ya kujitetea na kuita mashahidi kama atakuwa nao. "DPP ameifahamisha mahakama hii kuwa atatumia vielelezo mbalimbali katika kuendesha ushahidi ambao ni kutoka kwa mashahidi 28 na vielelezo sita," alisema Hakimu Kabate. Hata hivyo, alimuhoji mshitakiwa endapo atakuwa na utetezi pamoja na mashahidi wa kupeleka mahakamani ambapo Luwonga alidai atajitetea mwenyewe na kwamba hatakuwa na shahidi.

ALIYEMUUA MKEWE KWA KUMCHOMA, ATISHIA MBELE YA HAKIMU "NITAFANYA KITU MBAYA"

MAOFISA WA POLISI WANAOTUHUMIWA MAUAJI YA MUUZA MADINI WAFIKISHWA MAHAKAMANI

UNDANI HUKUMU ya KIFO kwa HAMIS ALIYEMUUA MKEWE KISHA KUMCHOMA kwa MAGUNIA MAWILI ya MKAA - KUMFUKIA

Umunsi Inkotanyi zihashya EX-FAR kuri burende ya Kagugu - Ubuhamya bwa Maj Gen (Rtd) Sam Kaka

“KHAMIS ASIMULIA UKWELI WOTE MWANZO MWISHO MPAKA KUMUUA MKE WAKE AKIWA SERO” NTOBI

MTOTO AELEZA ALIVYOMUONA BABA YAKE AKIMNYONGA MAMA YAKE HADI KUFA

TANZANIA NA MAREKANI MAHUSIANO YETU MAZURI, TUNA MIRADI INAENDELEA" WAZIRI KITILA

KESI YA MADAWA: Wema Sepetu Kujitetea Mahakamani May 14/15, Adai Hana Matumaini ya Kushinda Kesi!

MUME AKIRI KUMUUA NA KUMCHOMA MOTO MKEWE, POLISI YAFUKUA MAJIVU

MTIKISIKO WA RAIS SAMIA URUSI WAZIRI WA MAMBO YA NJE AFUNGUKA

KWA MARA YA KWANZA MKE WA BILIONEA MSUYA NA REVOCATUS WAFUNGUKA BAADA KUKAA GEREZANI MIAKA NANE

Hofu ya visa vya utekaji nyara wa watoto yaongezeka baada ya mtoto kuokolewa Githurai

YAFAHAMU MAKOSA MADOGO AMBAYO ADHABU YAKE NI JELA MAISHA.

HUKUMU YA ANAYEDAIWA KUMUUA MKE WAKE KWA KUMCHOMA NA MAGUNIA YA MKAA KUTOLEWA 2025

KESI YA ALIYEMCHOMA MKEWE KWA MAGUNIA, WAKILI AIOMBA MAHAKAMA JAMBO HILI..!

SO GOOD they got Bruno's Golden Buzzer MID-PERFORMANCE | Auditions | BGT 2023

HUKUMU ya NAOMI ANAYEDAIWA KUUAWA na KUCHOMWA na MAGUNIA ya MKAA na MACHO ni KESHO...

WAFANYAKAZI WAANDAMANA KAMBINI KWA MCHINA NJOMBE KUDAI ONGEZEKO LA MSHAHARA "MPAKA LEO HATUJALIPWA"

VILIO MAHAKAMANI - AHUKUMIWA KUNYONGWA HADI KUFA kwa KUMUUA MKEWE NAOMI - NDUGU WAISHIWA NGUVU...

