KIPINDI MAALUM CHA RAIS DKT.JOHN MAGUFULI ALIPOZUNGUMZA NA VIONGOZI WAKUU WASTAAFU

Hii ni mara ya kwanza kwa Mhe. Rais kukutana na viongozi hao wakuu wastaafu na kupokea ushauri na maoni yao juu ya uendeshaji wa Serikali na mustakabali wa Taifa. Katika mkutano huo viongozi hao wamemshukuru Mhe. Rais Magufuli kwa kuwaita kwa lengo la kusikiliza ushauri na maoni yao, na wamempongeza kwa kazi kubwa iliyofanywa na Serikali ya Awamu ya Tano katika kipindi kifupi cha miaka miwili na nusu tangu ilipoingia madarakani. Viongozi hao wamemshauri Mhe. Rais Magufuli kuimarisha na kujenga taasisi zinazosimamia uendelevu wa kazi nzuri zinazoendelea kufanywa na Serikali ya Awamu ya Tano zikiwemo utekelezaji wa miradi mikubwa ya maendeleo kama vile ujenzi wa reli, mapambano dhidi ya rushwa, kuimarisha nidhamu kazini, kutilia mkazo watu kuchapa kazi, kuongeza ukusanyaji wa mapato ya Serikali na utoaji wa huduma za jamii. Viongozi hao wamesisitiza umuhimu wa kudumisha amani kwa kuhakikisha haki inatendeka, kutathmini matatizo ya wananchi na kubuni mbinu za kuyatatua, kusimamia kwa ukaribu shughuli za kilimo na ufugaji ambazo zinaajiri Watanzania wengi na ni muhimu kwa maendeleo ya viwanda na kuboresha kiwango cha elimu. Kwa upande wake Mhe. Rais Magufuli amewashukuru viongozi hao kwa maoni na ushauri waliompa na amewahakikishia kuwa ataufanyia kazi. Mhe. Rais Magufuli amewaeleza viongozi hao juhudi mbalimbali zinazofanywa na Serikali hivi sasa ikiwemo kuongeza ukusanyaji wa mapato ya Serikali ambao umeongezeka kutoka Shilingi Bilioni 800 hadi kufikia Shilingi Trilioni 1.3 kwa mwezi, ujenzi wa reli ya kisasa kuanzia Dar es Salaam hadi Dodoma utakaogharimu Shilingi Trilioni 7.26, kujenga mradi wa umeme katika mto Rufiji (Stieglers’ Gorge) utakaozalisha Megawati 2,100 za umeme, kutoa elimu ya msingi na sekondari bila malipo na kuongeza mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu. Mhe. Rais Magufuli amewahakikishia kuwa Serikali ya Awamu ya Tano inaendelea vizuri na kwamba itaendelea kutatua changamoto ambazo bado zipo kwa juhudi kubwa ili Tanzania iwe nchi nzuri kwa Watanzania wote.

HOTUBA YA RAIS DKT MAGUFULI BAADA YA KUPOKEA RIPOTI YA KAMATI YA PILI YA MADINI JUNE 12, 2017
▶︎

HOTUBA YA RAIS DKT MAGUFULI BAADA YA KUPOKEA RIPOTI YA KAMATI YA PILI YA MADINI JUNE 12, 2017

HOTUBA YA RAIS MAGUFULI BAADA YA KUPOKEA RIPOTI YA UCHUNGUZI WA MADINI YA ALMASI NA TANZANITE
▶︎

HOTUBA YA RAIS MAGUFULI BAADA YA KUPOKEA RIPOTI YA UCHUNGUZI WA MADINI YA ALMASI NA TANZANITE

KIPINDI MAALUM CHA RAIS DKT  MAGUFULI AKIWA CHATO MARCH 29,2016
▶︎

KIPINDI MAALUM CHA RAIS DKT MAGUFULI AKIWA CHATO MARCH 29,2016

KIPINDI MAALUM CHA ZIARA YA RAIS DKT MAGUFULI BANDARINI SEPT 26,2016
▶︎

KIPINDI MAALUM CHA ZIARA YA RAIS DKT MAGUFULI BANDARINI SEPT 26,2016

Prof. Palamagamba Kabudi akizungumza na Watanzania wanaoishi Marekani. part 1
▶︎

Prof. Palamagamba Kabudi akizungumza na Watanzania wanaoishi Marekani. part 1

EXCLUSIVE: JESCA MAGUFULI ASIMULIA SIKU ZA MWISHO ZA RAIS MAGUFULI KABLA YA KIFO (SAUTI IMEBORESHWA)
▶︎

EXCLUSIVE: JESCA MAGUFULI ASIMULIA SIKU ZA MWISHO ZA RAIS MAGUFULI KABLA YA KIFO (SAUTI IMEBORESHWA)

Rais mstaafu Uhuru Kenyatta | Mikoba ya Demokrasia
▶︎

Rais mstaafu Uhuru Kenyatta | Mikoba ya Demokrasia

MKUTANO WA RAIS MAGUFULI NA WAFANYABIASHARA
▶︎

MKUTANO WA RAIS MAGUFULI NA WAFANYABIASHARA

RAIS DKT. MAGUFULI ATOA MSIMAMO WA SERIKALI KUHUSU BEI YA KOROSHO NCHINI 2018
▶︎

RAIS DKT. MAGUFULI ATOA MSIMAMO WA SERIKALI KUHUSU BEI YA KOROSHO NCHINI 2018

Tundu Lissu: "Hakuna tena kuimbiana mambo ya maridhiano  yasiyokuwepo"
▶︎

Tundu Lissu: "Hakuna tena kuimbiana mambo ya maridhiano yasiyokuwepo"

Hotuba ya Rais Dkt. Magufuli alipozindua Mwaka Mpya wa Kimahakama Feb 04,2016
▶︎

Hotuba ya Rais Dkt. Magufuli alipozindua Mwaka Mpya wa Kimahakama Feb 04,2016

TOP 10: KAULI za JPM ZILIZOTIKISA, TAZAMA UNIAMBIE IPI ILIKUKOSHA ZAIDI!
▶︎

TOP 10: KAULI za JPM ZILIZOTIKISA, TAZAMA UNIAMBIE IPI ILIKUKOSHA ZAIDI!

HOTUBA YA RAIS DKT.  JOHN POMBE MAGUFULI  ALIPOWAAPISHA VIONGOZI ALIOWATEUA - IKULU DSM
▶︎

HOTUBA YA RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI ALIPOWAAPISHA VIONGOZI ALIOWATEUA - IKULU DSM

Ziara ya Rais Magufuli kwenye Bandari ya Dar es salaam
▶︎

Ziara ya Rais Magufuli kwenye Bandari ya Dar es salaam

Rais Magufuli Agoma Kuhutubia, Awabana Polisi, TRA!
▶︎

Rais Magufuli Agoma Kuhutubia, Awabana Polisi, TRA!

RAIS MAGUFULI AFANYA ZIARA YA KUSTUKIZA GEREZA LA UKONGA  mp4
▶︎

RAIS MAGUFULI AFANYA ZIARA YA KUSTUKIZA GEREZA LA UKONGA mp4

Sababu za madini kutoroshwa hizi hapa
▶︎

Sababu za madini kutoroshwa hizi hapa

Umunsi mbona Afande (Perezida Kagame) ni bwo nemeye ko mfite amahoro- DCG Ujeneza wahoze muri EX-FAR
▶︎

Umunsi mbona Afande (Perezida Kagame) ni bwo nemeye ko mfite amahoro- DCG Ujeneza wahoze muri EX-FAR

HOTUBA YA MHE. RAIS DKT MAGUFULI WAKATI AKIMUAPISHA CDF,IKULU DSM 06 FEB 2017
▶︎

HOTUBA YA MHE. RAIS DKT MAGUFULI WAKATI AKIMUAPISHA CDF,IKULU DSM 06 FEB 2017

THIS IS HOT🔥 Angry Ndindi Nyoro Breathes Fire on Ruto over Ebola Facility in Kenya at Laikipia
▶︎

THIS IS HOT🔥 Angry Ndindi Nyoro Breathes Fire on Ruto over Ebola Facility in Kenya at Laikipia