ASILIMIA 50 YA ENEO LA TANZANIA LINA MAFUTA NA GESI ASILIA: UTAFITI

MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mkondo wa Juu wa Petroli(PURA) Mhandisi Charles Sangweni amesema asilimia 50 ya eneo la Tanzania lina Mafutq na Gesi asilia na kuwa utafiti bado unaendelea kubaini gesi hiyo ipo kwakiwango gani ikiwa nipamoja na kuainisha maeneo ya uchimbaji Mhandisi Sangweni ameyasema hayo katika Banda la PURA wakati alipotembelea Banda hilo kwenye Maonesho ya 48 Biashara Kimataifa (DITF) yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam (SABASABA) Amesema mpaka sasa kuna maeneo ambayo tayari yameshagunduliwa gesi ikiwemo Mnazi Bay pamoja na Songosongo iliyopo Mtwara,lakini maeneo mengine pia yana gesi asilimia na mafuta "Maeneo yenye viashiria ya mafuta SQM 5,034,000 karibu asilimia zaidi ya 50 za eneo la Tanzania" amesema Aidha, utafiti uliofanyika kwenye SQKM 169200 huku eneo lililofanyiwa Utafiti kwa kiwango kikubwa kipo maeneo ya Pwani kuanzia Kaskazini kwa maana ya Tanga,Kusini na Mtwara eneo hili limeenda mbali zaidi kuingia baharini zaidi ya km 400,eneo hili tulishapata kibali Umoja wa Mataifa kwani maeneo mengine ayamilikiwi na nchi yoyote Aidha Amesema, Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia ya asilimia 80 itapunguza matumizi ya nishati ambayo inachafua mazingira na kwamba Gesi ya Tanzania inayopatikana Songosongo imeidhinishwa na dunia kama nishati itakayo tumikama nishati ya mpito kuelekea matumizi ya asilimia mia ya nishati safi Mhandisi Sangweni ameyasema hayo katika Banda la PURA wakati alipotembelea Banda hilo kwenye Maonesho ya 48 Biashara Kimataifa (DITF) yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam (SABASABA) Amesema kutokana na ugunduzi wa gesi unaoendelea nchini wananchi wanapaswa kutumia nishati safi yakupikia ambayo haina madhara ukilinganisha na matumizi ya Kuni na Mkaa ‘Malengo yakutumia nishati safi ya kupikia kufikia asilimia 80 mwaka 2034 lazima,tutoke kwanye matumizi ya nishati ambayo inachafua hali ya hewa kama Mkaa pamoja na kuni twende tukatumia nishati ambayo haina madhara kwa kiasi kikubwa,’alisema Mhandisi Sangweni. Amesema kuwa wanafanya tafiti mbalimbali zakuwezesha jambo hili liwezekane kwa kuzalisha kiasi cha gesi ambacho kitaweza kuhudumia majumbani,katika magari na kwenye maeneo mengine

TANZANIA YADHAMIRIA KUCHIMBA KISIMA CHA MAFUTA KARATU 2028
▶︎

TANZANIA YADHAMIRIA KUCHIMBA KISIMA CHA MAFUTA KARATU 2028

MORNING TRUMPET: Utafiti wa gesi ya helium na manufaa yanatotarajiwa kwa Tanzania
▶︎

MORNING TRUMPET: Utafiti wa gesi ya helium na manufaa yanatotarajiwa kwa Tanzania

VIASHIRIA vya UWEPO WA NISHATI ya MAFUTA TANZANIA VYABAINIKA, PURA WAELEZA
▶︎

VIASHIRIA vya UWEPO WA NISHATI ya MAFUTA TANZANIA VYABAINIKA, PURA WAELEZA

HADI SASA VISIMA 96 vya MAFUTA VIMECHIMBWA TANZANIA, 59 NCHI KAVU, 37 BAHARINI....
▶︎

HADI SASA VISIMA 96 vya MAFUTA VIMECHIMBWA TANZANIA, 59 NCHI KAVU, 37 BAHARINI....

HII HAPA MIKATABA YOTE 8 KATI YA RAIS PUTIN NA TANZANIA,BAADA YA ZIARA YA RAIS SAMIA URUSI.
▶︎

HII HAPA MIKATABA YOTE 8 KATI YA RAIS PUTIN NA TANZANIA,BAADA YA ZIARA YA RAIS SAMIA URUSI.

"KILOMETA ZA MRABA 534,000 ZIMEFANYIWA TAFITI KUBAINI UWEZEKANO WA KUPATIKANA MAFUTA NA GESI".- PURA
▶︎

"KILOMETA ZA MRABA 534,000 ZIMEFANYIWA TAFITI KUBAINI UWEZEKANO WA KUPATIKANA MAFUTA NA GESI".- PURA

UTAFITI wa UCHIMBAJI MAFUTA TANZANIA, UCHUNGUZI wa KINA Kufanyika MIKOA HII..
▶︎

UTAFITI wa UCHIMBAJI MAFUTA TANZANIA, UCHUNGUZI wa KINA Kufanyika MIKOA HII..

Fahamu matumizi ya gesi asilia kwenye magari
▶︎

Fahamu matumizi ya gesi asilia kwenye magari

GESI ASILIA YAANZA KUSAMBAZWA MWENGE MPAKA MBEZI BURE, HOTELINI, VIWANDANI
▶︎

GESI ASILIA YAANZA KUSAMBAZWA MWENGE MPAKA MBEZI BURE, HOTELINI, VIWANDANI

HECHE: MKE WA TUNDU LISSU NA DADA YAKE POLE POLE WAMEUWASHA MOTO BUNGE LA ULAYA
▶︎

HECHE: MKE WA TUNDU LISSU NA DADA YAKE POLE POLE WAMEUWASHA MOTO BUNGE LA ULAYA

Tanzania kuanza kuchimba Mafuta na Gesi Asilia mwaka 2026 kupitia mradi wake wa Eyasi Wembere.
▶︎

Tanzania kuanza kuchimba Mafuta na Gesi Asilia mwaka 2026 kupitia mradi wake wa Eyasi Wembere.

BONDE LA EYASI LATHIBITIKA KUWA NA MAFUTA | VIASHIRIA VIKUBWA VYA KITAFITI VIMEONEKANA
▶︎

BONDE LA EYASI LATHIBITIKA KUWA NA MAFUTA | VIASHIRIA VIKUBWA VYA KITAFITI VIMEONEKANA

Inside Israel’s torture prison camps | One on one with Khaled Mahajna
▶︎

Inside Israel’s torture prison camps | One on one with Khaled Mahajna

SAKATA LA MAFUTA SHABIBY AFUNGUKA ZAMANI MAZITO
▶︎

SAKATA LA MAFUTA SHABIBY AFUNGUKA ZAMANI MAZITO

CHINA: TUTATUMIA MFUMO WA IRAN KUPAMBANA NA MAREKANI TUTAPIGA KAMBI ZOTE JAPAN NA KOREA
▶︎

CHINA: TUTATUMIA MFUMO WA IRAN KUPAMBANA NA MAREKANI TUTAPIGA KAMBI ZOTE JAPAN NA KOREA

RASMI ZNZ YARUHUSU UCHIMBAJI WA GESI ASILIA NA MAFUTA, MCHAKATO UMEKAMILIKA
▶︎

RASMI ZNZ YARUHUSU UCHIMBAJI WA GESI ASILIA NA MAFUTA, MCHAKATO UMEKAMILIKA

TPDC yakamilisha Utafiti wa Mafuta na Gesi Asilia nchi kavu Bonde la Eyasi Wembere/Ziwani kuendelea.
▶︎

TPDC yakamilisha Utafiti wa Mafuta na Gesi Asilia nchi kavu Bonde la Eyasi Wembere/Ziwani kuendelea.

MAREKANI WANATUSEMA TUNACHINJA NA KUTEKA WATU | RAIS SAMIA AKISIKIA HAYA ATAJISIKIA VIBAYA SANA
▶︎

MAREKANI WANATUSEMA TUNACHINJA NA KUTEKA WATU | RAIS SAMIA AKISIKIA HAYA ATAJISIKIA VIBAYA SANA

Usiweke GESI kwenye GARI au BAJAJI ! Kabla Hujaangalia HII
▶︎

Usiweke GESI kwenye GARI au BAJAJI ! Kabla Hujaangalia HII

🔴Waziri Katambi Atuma Polisi kwa John Heche, Mkuu wa Chadema Ahofia Maisha na Usalama wa Familia
▶︎

🔴Waziri Katambi Atuma Polisi kwa John Heche, Mkuu wa Chadema Ahofia Maisha na Usalama wa Familia