TAHARUKI ARUSHA WANANCHI WAANDAMANA NAKUFUNGA BARABARA WADAI NI MBOVU HAWATAKI UONGO TARURA
Wananchi wanaoishi katika mtaa wa Nado kati kata ya Muriet Mkoani Arusha wameandamana na kufunga barabara wakilalamika ubovu wa barabara inayotokea East Africa kuelekea Nadosoito sababu kubwa iliowafanya kuandamana ni kwasababu wanakumbana na adha ya mafuriko lakini pia wananchi hao wanashindwa kufanya shughuli zao za kiuchumi huku wanafunzi wakishindwa kwenda shuleni. Manara TV tumefika eneo la tukio na kuzungumza na Wananchi wakilalamika zaidi tangu wamefunga barabara hiyo hakuna kiongozi ambae amefika ila wanatumiwa Police waje kuwadhibiti, Wananchi hawa wamezidi kumtaja mkandarasi kuchelewa kufanya kazi kwa wakati kila siku anachonga barabara lakini hairekebishwi. hata hivyo kiongozi kutoka TARURA aitwae Vikey Chisoma alifika na kutoa majibu kua ni mkandarasi aliyepewa kazi ndio amechelewa kufanya kazi yake lakini wananchi bado hawakuweza kumuelewa aliishia kuitwa muongo na Wananchi. #ManaraTvUpdate #ManaraTv

VURUGU ARUSHA VIONGOZI WA SERIKALI WATUMBUKIZWA KWENYE MAJI MACHAFU WAFUNGA BARABARA POLIS DC WAFIKA

MAKUTANO YA BARABARA

BABA LEVO AMLIPUA HARMONIZE KATIKA UWANJA WA NDEGE KIGOMA / AKINISEMA NA MIMI NAMSEMA

🔴#LIVE:ZUIO MIKUTANO ya VYAMA vya SIASA LAIBUA MJADALA/VYAMA VYAHOJI/NINI KINAFUATA?/KUHOJIWA/KAMATI

MWALIMU ASIMULIA ALIVYOKATWA MKONO NA MUMEWE, WATOTO WAKE WAONE VIDOGOLE VILIVYOKATWA, WANAFUNZI

ARUSHA :KIONGOZI AFUKUZWA NA WANANCHI KWA KUWAITA WAJINGA "ONDOKA USITUITE WAJINGA SISI“

Morara Kebaso Attacked, Ol Kalou Erupts: SG Methu's Warning Ignites Political Firestorm!

MAANDAMANO ARUSHA - KIONGOZI wa SERIKALI ATOLEWA NDUKI na WANANCHI - KAULI ZAKE ZAMPONZA...

MTU MMOJA AHOFIWA KUFARIKI ARUSHA, WANANCHI WAFUNGA BARABARA USIKU HUU, "POLISI MSINGEKUJA"

VURUGU ARUSHA, MADUKA ZAIDI YA 50 KWENYE MBUZI YAFUNGWA, WAFANYABIASHARA WATAKA YAFUNGULIWE

Pakistani Truck Parts Repair with a Master Mechanic Amazing Restoration

Tanzania yapiga marufuku mikutano ya kisiasa. Katika Dira ya Dunia TV

MATAIFA AKINUKISHA ARUSHA NA SUBARU INAYOTOA MOTO, MAKONDA ATANGAZA KESHO WATU WAENDE CLOCKTOWER

#TAZAMA| WANANCHI WAANDAMANA MSIBANI MTOTO ALIYEUAWA NA BABA YAKE ARUSHA ''TUMEPOTEZA DKT''

Afghan most Famous Kabuli Pulao | Pakistani Karahi | Biryani recipe | Roasted chicken | Street food

Colombia vs. Portugal | 2026 FIFA World Cup Highlights | MAGENTA TV

DUH! WANANCHI BAGAMOYO WAUWASHA MOTO NYUMBA ZAO KUBOMOLEWA WATAJA VIONGOZI KUHUSIKA

TOUGH QUESTIONS FROM REPORTERS TO GERSON MSIGWA

WIZI MPYA ARUSHA, WAKALA ATAPELIWA MILIONI 4, JINSI WANAVYOIBA, POLISI WAINGILIA

