JIFUNZE NOTA | NA JINSI YA KUZITUMIA KUIMBA AU KUPIGA BEAT

Je wewe ni muimbaji? au wewe ni producer karibu sana ujifunze NOTA na jinsi unavyo weza kuzitumia kuimba au kupiga beat (kinanda).... Hili ni somo muhimu sana na ukilijua vizuri basi hauta pata taabu yoyote kwenye muziki #vocalcoaching #voice #vocalcoach #podcast #music #ShackVocalTraining #MeshackPeter