FULL VIDEO: Maria, Consolata, Wazikwa kama Malkia
FULL VIDEO: Maria, Consolata, Wazikwa kama Malkia MIILI ya mapacha Maria na Consolata Mwakikuti (20) waliofariki dunia Jumamosi iliyopita katika Hospitali ya Mkoa wa Iringa, imeagwa katika viwanja vya Chuo Kikuu cha Ruaha (RUCU) kabla ya kuzikwa katika makaburi ya viongozi wa dini yaliyopo Tosamaganga mkoani humo leo Jumatano, Juni 6, 2018. Maria na Consolata ambao enzi za uhai wao walikataa kutenganishwa, watazikwa kwenye jeneza moja litakalokuwa na misalaba miwili. Familia za baba na mama wa mapacha hao kutoka Tukuyu, Mbeya na Bukoba, Kagera, waliokuwa walezi wa mapacha hao, masista wa Consolata wa Iringa, na waombolezaji wengine, wameungana katika kuwasindikiza mapacha hao katika safari yao ya mwisho duniani. Shughuli za kuaga miili hiyo imeanza saa mbili asubuhi katika chuo cha Rucu ambapo baadaye msafara wa maziko utapita barabara kuu kuelekea Tosamaganga ili wananchi ambao hawatafika Rucho waweze kutoa heshima zao za mwisho lnstal GlobalPublishersApp Android: http://bit.ly/2AAQe1d iOS: http://apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit https://globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1 kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: https://globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .

Mambo Usiyoyajua Kuhusu Maria na Consolata

KWA NINI WALIITWA MARIA NA CONSOLATA? HIKI NDICHO KILICHOFANYA MABINTI PACHA WABATIZWE HIVYO...

Rais Dkt John Pombe Magufuli akisali na mapacha walioungana Maria na Consolata alipowatembelea kweny

🔴#LIVE: SERIKALI YAJIBU BUNGE la ULAYA/CHADEMA YAKANA MAANDAMANO ya 7-7/CCM YAZIDI KUPIGILIA MSUMARI

Maajabu ya Jeneza la Maria na Consolata

Baba ..... 'Baba njoo utuone kabla hatujafa' Maria na Consolata

MWANZO MWISHO WA MARIA NA CONSOLATA

Nusja me shkollë - Episodi 63 (Tregim Popullor)

KUTOKA IRINGA: Mazishi ya Maria na Consolata Leo

Mapacha Maria na Consolata wafikia Hospitali Iringa

MARIA NA CONSOLATA KUZIKWA TOSAMAGANGA, SPIKA NDUGAI ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI

IRINGA: Mazishi ya Maria na Consolata Leo

UCHAMBUZI: Yaliyotokea Kwenye Mazishi ya Maria na Consolata

Taarifa za kimatibabu za Maria na Consolata zawekwa wazi

තෙල්දෙණියෙන් හමු වූ කාන්තා මළ සිරුරේ සුලමුල | සැකකරු ගැන මීට පෙරත් පැමිණිලි ලැබිලා

WAUMINI WABAKI HOI KANISANI/PADRE MWENYE KIPAJI NA KARAMA YA AJABU/SHUHUDIA ALICHOKIFANYA''SAMEHE''

Nyumba waliokuwa wakiishi Maria na Consolata yageuzwa kituo cha walemavu

Bibi wa Maria na Consolata aungana na wanabukoba kuwaaga Maria na Consolata

Queen's coffin enters Westminster Abbey

