WAZIRI JERRY AKEMEA VIKALI, AAGIZA WATANZANIA WOTE KUEPUKE KUNUNUA ARDHI KWA MWENYEKITI WA KIJIJI
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Jerry Silaa amewataka Wenyeviti wa Serikali za Mitaa na Vijiji kuacha kujihusisha na Uuzaji wa Viwanja kwani Wanaohusika ni Maafisa Ardhi kwa kushirikiana na Makampuni ya Urasimishaji, huku Akiwaasa Wananchi Kuanza Kufuata Taratibu zote muhimu za Manunuzi ya Viwanja ili kuepukana na Migogoro ya Ardhi. Hayo ameyazungumza mapema hii leo Jijini Dar es salaam wakati wa kikao kazi cha Wahariri na Waandishi wa Habari sambamba na Uzinduzi wa Ardhi Clinic Kiganjani pamoja na kutoa tathmini ya siku 100 tangu alipoteuliwa katika Wizara hiyo.

▶︎
Jerry Silaa Kuhusu Wenyekiti Wa Mitaa Kuuza Ardhi | Aeleza Mwenye Haki ya Kurithi Ardhi | Clouds360

▶︎
DAKIKA 52 ZA JERRY SILAA ATUMA SALAMU KWA JAJI WA MAHAKAMA ANAYETAJWA KUSAIDIA MATAPELI WA ARDHI

▶︎
MAMBO YA KUZINGATIA KABLA YA KUNUNUA KIWANJA

▶︎
Atty. Danicon - Abogado De Campanilla | Episode 357 (June 22, 2026)

▶︎
SILAA ARUDISHA KIWANJA CHA BAKWATA KILICHOUZWA KWA MASAWE, AMFUTIA HATI YA UMILIKI

▶︎
The Tanzania National Budget Highlights 2026/2027

▶︎
WIZARA YA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI

▶︎
#LIVE: WAZIRI MPYA JERRY SILAA ATANGAZA MAMBO 12 ATAYODILI NAYO "SINA MTU ANAYENIMUDU"

▶︎
JERRY SILAA:UNAPOTAKA KUNUNUA ARDHI ZINGATIA HAYA

▶︎
WATANZANIA ACHENI ROHO MBAYA - WAZIRI SILAA

▶︎
MABARAZA YA KATA YAZUIWA KUTOA HUKUMU KESI ZA ARDHI

▶︎
"Tumedhurumiwa eneo letu na Wizara ya Ardhi" Mzee awaka awatuhumu wizara ya ardhi kuchukua eneo lao

▶︎
🔴 Duh: WAZIRI MKUU TAMKO ZITO ATOA | USALAMA WA NCHI, ACHIMBUA MAZITO

▶︎
MMILIKI WA S. H. AMON AKUMBANA NA WAZIRI SILAA KARIAKOO, MGOGORO WA JENGO LA GHOROFA WATATULIWA

▶︎
Tanzania yapiga marufuku mikutano ya kisiasa. Katika Dira ya Dunia TV

▶︎
KERO YA URASIMISHAJI WA ARDHI DAR NI KUBWA, WAZIRI SILAA ATOA TAMKO "NATOA SIKU SABA"

▶︎
Julius Kipngetich, Group CEO of Jubilee Holdings | Full speech at Man Cave 6

▶︎
Jerry Silaa awaka Bungeni Spika amtuliza "Hazina maana yoyote, spika nisaidie"

▶︎
WAZIRI JERRY SILAA AUNDA TIMU ya WATAALAMU KUTATUA MIGOGORO SUGU wa ARDHI DODOMA...

▶︎
