Dkt Faustine: Wananchi wa Kigamboni Wamenituma I Kwanini Wanalipia Wanalipia Kupita Darajani...?
Wananchi wa Kigamboni wamenituma Mheshimiwa Naibu Spika kuulizia baada ya kuisikia kauli ya Serikali kwamba Daraja la Tanzanite litakuwa bure, wakati wakazi wa Kigamboni wao wanajiita wakimasikini wanatozwa tozo ili waweze kuvuka kwenda Mjini, na hawana mbadala kama walivyo wakazi wengine wa Oysterbay, Masaki ambao wana Barabara ya Salander, sisi ukipita kwenye Kivuko na Darajani lazima ulipie. Wananchi wa Kigamboni wameniomba niwaulizie kwa niaba yao, ni kwanini pekee yao wanapaswa kulipia…?” Mhe. Dkt. Faustine Ndugulile Mbunge wa Kigamboni amechangia kwenye hotuba iliyowasilishwa na Kamati ya Bajeti. #KutokaBungeni #CloudsDigitalUpdates

▶︎
NDUGULILE AWASEMEA WAKAZI WA KIGAMBONI “TOZO ZIFUTWE”

▶︎
MANENO MAKALI ya MBUNGE NDUGULILE MBELE ya NAIBU SPIKA ZUNGU - INASIKITISHA TUMEPOTEZA MTU #maktaba

▶︎
KAULI YA MWISHO YA DKT. NDUGULILE AKIWA BUNGENI "HAWAKUA NA NIA NJEMA"

▶︎
Hotuba ya Mwl. Nyerere Mwaka 1958, Jangwani DSM iliyoamsha Vuguvugu la kudai Uhuru, Sehemu ya II

▶︎
Dkt Faustine Ndugulile, Mkurugenzi Mteule wa Shirika la Afya Duniani Kwenye Clouds 360

▶︎
CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG

▶︎
KABLA YA KIFO NDUGULILE ALIVYOLIA DARAJA LA KIGAMBONI LIONDOLEWE TOZO

▶︎
Ndugulile azitahadharisha kampuni za simu kuhusu kuvujisha siri za watu.

▶︎
MANENO MAZITO YA ASKOFU STEPHANO MUSOMBA MSIBANI KWA DK FAUSTINE NDUGULILE

▶︎
SHANGWE LA NDUGULILE BUNGENI HAIJAWAHI TOKEA, ANENA KIGAMBONI BADO NIPO NIPO NITAHUDUMIA WATU BIL.1"

▶︎
KILIO NYUMBANI KWA NDUGULILE

▶︎
Unity Club Meeting | Opening Remarks by President Kagame | Kigali, 27 June 2026

▶︎
VILIO VYATANDA KIGAMBONI KIFO CHA DR. NDUGULILE, ALIKUBALI KUFUKUZWA BUNGENI

▶︎
5 qodob oo Xasan Sh ku doortay in uu Liibaan Axmed u qaato MW-nimada Galmudug!

▶︎
HOTUBA YA RAIS DOKTA SAMIA AKIMUAGA DKT FAUSTINE NDUGULILE

▶︎
MBUNGE WA KIGAMBONI FAUSTINE NDUGULILE AFARIKI DUNIA, SPIKA TULIA ATANGAZA KIFO CHAKE

▶︎
HOTUBA YA ASKOFU GWAJIMA MSIBANI KWA NDUGULILE

▶︎
PROF OMAR WA ACT WAZALENDO AISHAMBULIA OFISI YA MAKAMO WA PILI WA RAIS

▶︎
LIVE : RAIS DKT. JOHN P. MAGUFULI AKIWA NJIANI KURUDI DAR ES SALAAM

▶︎
