WAZIRI SILAA AAGIZA BAKARI SHINGO AKAMATWE kwa KUSABABISHA MGOGORO kwa MADEREVA BAJAJI - "TAPELI"...
WAZIRI SILAA AAGIZA BAKARI SHINGO AKAMATWE kwa KUSABABISHA MGOGORO kwa MADEREVA BAJAJI - "TAPELI"... Waziri wa Ardhi nyumba na maendeleo ya Mkakazi Jerry Silaa amemuagiza mkuu wa polisi Gongo la Mbotokumkamata bwana mmoja aliyefahamika kwa majina Bakari Shingo na wenzie akiwemo msimamizi wa eneo hilo kutokana na kudaiwa kusababisha mgogoro wa eneo la maegesho ya bajaji katika mtaa wa Gongo la Mboto ilala jijini Dar Es Salaam. Aidha Silaa amemtaka mkuu wa mipango miji halmashauri ya jiji la Dar Es Salaam kumilikisha eneo hilo la maegesho ya bajaji kwa mkurugenzi wa jiji na kumtaka aweke utaratibu mzuri wa malipo kwa madereva wa waliokuwa wakipaki eneo hilo ikiwemo kuwapunguzia ushuru kutoka shilingi elfu 2500 waliyokuwa wkilipa awali hadi kufikia shilingi elfu moja 1000. Waziri Silaa ametoa maagizo hayo alipofanya ziara ya kushtukiza kwenye eneo hilo baada ya kuwepo mgogoro huo ambao umezua taharuki hasa kwa madersva bajiji waliokuwa wakifanya kazi eneo hilo kutolewa na anayedai kuwa ndiye mmiliki. ============================================================ ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136) ⚫️ Email: [email protected] ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo na Burudani Tanzania! ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua ⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/ ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx

WAZIRI SILAA AKATAA RUSHWA ya MIL 300 UJENZI KITUO cha MAFUTA MIKOCHENI ALIPOLIAMSHA DUDE TIBAIJUKA

WAZIRI SILAA ATINGA KARIAKOO KUTATUA MGOGORO wa JENGO LILILOTOLEWA WAQFU - "OCD MADRASA IRUDI LEO"..

JENERALI ULIMWENGU - "MAGUFULI ALITUVURUGA, KURA ZIMEIBWA, MKAPA ALIWAPA MAKABURU BENKI, NDUGAI..."

WAZIRI SILAA AMREJESHEA MAMA KIWANJA CHAKE ALICHOHANGAIKIA MIAKA 40 -''UMPE KODI YAKE ya KUPANGA''..

WAZIRI SILAA AAGIZA UCHUNGUZI MGOGORO wa NYUMBA ya BIBI KIZEE MWANANYAMALA- AOMBA SIKU 30 KUMALIZA..

BAKARI SHINGO AMKALIA KOONI JERRY SILAA / ATINGA MAHAKAMANI KUWASHTAKI VIJANA ALIOWAKINGIA KIFUA

VUTA NI KUVUTE YA STAND, JERRY SILAA AMVAA DC NIKKI, ATAKA WAZIRI KUINGILIA KATI "HAIWEZEKANI"

MMILIKI WA S. H. AMON AKUMBANA NA WAZIRI SILAA KARIAKOO, MGOGORO WA JENGO LA GHOROFA WATATULIWA

Inside Ruto MASTER PLAN with Gachagua IMPEACHMENT CASE |Plug Tv Kenya

Mgombea Ubunge Bkari Shingo avamiwa na kundi la vijana, Gari lavunjwa vioo vyote

MJANE MTATA AMKOMALIA WAZIRI SLAA SOMA HAPA UNIAMBIE UNAONAJE, NMEJUA WAZIRI UMEKUJA UTAONGEA MAMB..

WALIOVUNJIWA NYUMBA 32 UNGALIMITED ARUSHA WAIBUKA kwa WAZIRI SILAA - WAKOSHWA na MAAMUZI YAKE...

WAZIRI SILAA AMWAGA MACHOZI BAADA YA JAMAA KUTAKA KUJIUA KWA SUMU "WAMENIONEA"

ALIYENUSURIKA KUPORWA KIWANJA NA MUSHI APEWA HATI, MUSHI AKOSA VIELELEZO, AWEKWA CHINI YA ULINZI

WAZIRI SILAA AWABANANISHA WATAALAM ISHU ya KITUO cha MAFUTA MIKOCHENI -WADAI ni MAAGIZO ya MAGUFULI

MCHINA AUZIWA ENEO LAKE WAKIDHANI AMEFARIKI KWA KORONA - WAZIRI SILAA AMKAMATA ALIYEUZA - AJITETEA!

VIDEO: MAAMUZI YA WAZIRI SILAA YALIVYOMTOA MACHOZI MZEE HUYU "ASITISHA KUFUTIWA HATI YA UMILIKI".

WAZIRI SILAA AMTOA MTU ALIYESHIKILIA NYUMBA AMBAYO SIYO YAKE TANGA - AMPATIA MWENYE HAKI AINGIE.....

''WEWE NISIKILIZE'' - WAZIRI AWESO AMBANANISHA MENEJA wa MAJI HADI AKAPATA KITETE - AMSIMAMISHA KAZI

