Maendeleo ya Mradi wa Kilimo cha Alizeti. #MKULIMA AFRICA

Kilimo cha Alizeti ni mradi ambao uko mbioni kukamilika! Maelezo mafupi yakitolewa na Mwanzilishi wa kampuni ya @MkulimaAfrica akiwa na Bw.#EmmanuelJacob katika shamba la kwanza la @MkulimaAfrica ambalo ni miongoni mwa mashamba 3 yanayomilikiwa na mradi huo wa alizeti.