Loice Dama - Nimesamehewa (Official Music Video)

Video filmed by ‪@mmp_studios_ke‬ Tumenunuliwa kwa bei ghali Nayo ni damu ya Yesu Kristo Imetupatanisha pamoja na Mungu wa mbinguni Ambaye ni baba wa mataifa yote Nimenunuliwa kwa damu ya bei ghali Ni damu ya thamana, ya bwana Yesu Sina wasiwasi, popote napo enda Nimefichwa mimi, ndani ya damu yake Nayo magonjwa Magonjwa sio sehemu yangu Laana na mikosi Nayo mikosi, sio sehemu yangu Kwa maana nimefichwa, ndani ya damu yake Ooh kwa hiyo damu, nimepatanishwa Na baba yangu, wa mbinguni Kwa hiyo damu, nimehesabiwa haki Ninaitwa mwana, wake Mungu Tena ni murithi, pamoja naye Kwa damu yako imetufanya tumesamehewa thambi Kwa damu yako imetufanya tunaitwa wana Kwa damu yako tumepatanishwa pamoja naye Nakwambia nimesamehewa Nimesamehewa Kwa kweli nimesamehewa Nimesamehewa Oohh nimesamehewa kwa damu yake Nimesamehewa Mbona mnanihukumu mie Nimesamehewa Damu ya Yesu imenisamehe thambi Nimesamehewa Aah nimesamehewa mie Nimesamehewa Nakwambia nimenunuliwa kwa damu yake Nimenunuliwa Ahh nimenunuliwa kwa damu ya thamana Nimenunuliwa Ahh Nimenunuliwa Nimenunuliwa Wapendwa tumesamehewa sie Tumesamehewa Hatuko chini ya laana tena Nimesamehewa Sasa tunaitwa wana wa Mungu aliye hai Nimesamehewa Aah tunaitwa wana Nimesamehewa Tumepatanishwa na baba Nimesamehewa Ooh tumesamehewa Nimesamehewa Nafurahia msamaha wake baba Nimesamehewa Aah siko chini ya laana tena Nimesamehewa Ooh nimesamehewa Nimesamehewa Wapendwa nimenunuliwa Nimenunuliwa Sasa ninaitwa mwana Nimenunuliwa Eeh tunaitwa wana wa Mungu Nimenunuliwa Eeh tumesamehewa Nimesamehewa Haleluya Nimesamehewa Asante Bwana Nimesamehewa Kwa msamaha wako Nimesamehewa