Mbunge Songwe Atoa mpya ya MWAKA,ajilaza chini kuwashukuru wananchi

Mbunge wa Jimbo la Songwe Wilayani Songwe, Philipo Mulugo amejilaza chini kwenye vumbi ikiwa ni ishara ya kuwashukuru wananchi waliompokea katika ziara yake Kata ya Udinde wilayani Songwe huku akitoa Sh10 milioni kwaajili ya kuviwezesha vikundi 16 vya wajasiriamali katika Kata hiyo.