MUFTI MKUU AINGIA NJOMBE, AZUNGUMZIA WANAOSEMA BAKWATA INATUMIWA NA SERIKALI "TUNATAKA UZALENDO"
Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania Abubakar Zubeir amesema Baraza Kuu ya Waislamu wa Tanzania (BAKWATA) itaendelea kusimamia maslahi ya Nchi ambapo ametoa wito kwa watanzania kuendelea kuwa wazalendo na Taifa lao pamoja na kuilinda amani. Mufti ameeleza hayo leo wakati akizungumza na baadhi ya viongozi wa dini na serikali wakati wa ziara yake ya kikazi mkoani Njombe ambapo pia amesema miongoni mwa kazi ya BAKWATA ni pamoja na kuhimiza watu kuilinda amani na kuwa wazalendo na taifa tofauti na wengine wanavyodhani kuwa Baraza hilo linatumiwa na serikali. "Tunazungumza sana swala la amani na uzalendo kwasababu tunaijua nchi ilivyo sasa akili ya watu wengine wanafikiri labda sisi ni vibaraka yani serikali inatutumia nendeni huko mkaseme hivi, a a sisi hatutumiwi na serikali tunajua umuhimu wa kutengeneza jamii ambayo inajua umuhimu wa kuwa mzalendo katika nchi yako" amesema Sheikh Mkuu wa Tanzania Abubakar Zubeir

SHEIKH WALID AKABIDHI OFISI KWA SHEIKH ABBAS, BAKWATA MKOA DSM

MAKONDA ATANGAZA KUMTAFUTA KIJANA ALIYEFANYA KITENDO HIKI, AAHIDI MIL.MOJA ATOA TATHMINI YA MATIBABU

Heche: Hakuna Mazungumzo Yatakayofanyika Bila Mwenyekiti Kuwa Nje

What Do Koreans Make with Sweet Potatoes?!

Happy old age of an elderly couple far from civilization. Apricot season

NILIKUWA NIKIENDA KAZINI NAVAA KILO 8 ZA BULLET PROOF | BALOZI AMI MPUNGWE

Murkomen SPEAKS after CCTV showed Police Kill Albert Ojwang in cell,Gachagua Attacks,goonism,anarchy

#BREAKING: BAKWATA WAUNDA TUME ya KUMCHUNGUZA SHEIKH WALID na WENGINE 2 WALIOFUKUZWA....

"MIEZI YA NYUMA DAWA ZA KULEVYA ZILIKAMATWA" CHALAMILA AIBUKA FUKWE ZA KUNDUCHI AAGIZA KUPANGWE UPYA

'CCM Chama Kikubwa Hatuwezi Kushugulika Na Hela za Heche': Mazungumzo Maalumu Na Stephen Wasira

Leo #MariaSpaces tunajadili: Je, kesi feki na utekaji zimeweza kutuuzia uoga? Turidhiane ?

SERIKALI KUANZISHA MFUMO WA LESENI KWA WALIMU, WADANGANYIFU WA MITIHANI, NITAWATUMIA JINAMIZI

LAMATA AMTOA MACHOZI KAJALA, AFUNGUKA KUMPA KIWANJA AJENGE

REASONS WHY RUTO'S UDA LEADER OKOTH OBADO IN MIGORI TO BE JAIL AFTER COURT FOUND GUILTY OF MURDER

Inequality, corruption and police brutality in Kenya: Mehdi Hasan & Kimani Ichung’wah | Head to Head

SIRI MWANAMKE ALIYE HAI ASIYE NA KICHWA, ALIYEWACHANGANYA WENGI MAREKANI

ZAINAB AZURU KABURI LA MAALIM SEIF, ASEMA VIJANA SASA MAKUNDI YAMEISHA CCM NA ACT

Farouk Kibet: The Most Powerful Man You've Never Elected

BAKWATA IJISAFISHE INA TATIZO KATIKA NGAZI YA UONGOZI

