#TAZAMA| KWANINI WASTONI KAENDOLEWA KWENYE KESI YA SABAYA?? SIKU 5 KUAMUA HATMA YAKE...

Rufaa no 155.2022 iliyokatwa na Jamhuri kupinga hukumu ya kuachiwa huru kwa aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro Lengai Ole Sabaya imepangwa kusikilizwa mfululizo kwa siku tano. Hayo yameelezwa na Naibu msajili wa Mahakama kuu Kanda ya Arusha Judithi Kamala wakati akiahirisha Rufaa hiyo kwa niaba ya Jaji anayesikiliza Rufaa hiyo Jaji Salma Magimbi. Rufaa hiyo imeahirishwa mpaka tarehe Feb 27.2023 kutokana na Jaji Salma Magimbi kuwa na majukumu mengine ya kiofisi na itasikilizwa hadi Machi 3.2023 Mbali na Sabaya warufani wengine ni Enock Togolani Mkeni, Sylvester Starnslaus Nyegu, John Aweyo Odemba Jackson Lamweri Macha na Nathan Msuya ambao wao hawakuja Mahakani. Kumbuka Sabaya alishinda kesi ya uhujumu uchumi namba 27.2021 mnamo June 10.2022 na wenzake hao na baadae Jamhuri wakapinga hukumu hiyo kwa kukata Rufaa hii.. Follow us on: FACEBOOK; SpotiLeo:   / spotileo-176.  . HabariLeo:   / habarileo   DailyNews:   / dailynewstz   INSTAGRAM; HabariLeo: https://instagram.com/habarileo_tz?ig... SpotiLeo: https://instagram.com/spotileo?igshid... TWITTER; Twitter HabariLeo: https://twitter.com/HabariLeo?s=09

MKE WA SABAYA ATINGA MAHAKAMANI, ATOA USHAHIDI KESI YA UHUJUMU UCHUMI INAYOMKABILI MUMEWE
▶︎

MKE WA SABAYA ATINGA MAHAKAMANI, ATOA USHAHIDI KESI YA UHUJUMU UCHUMI INAYOMKABILI MUMEWE

WATSON AMTUHUMU SABAYA AOMBA AONGEZEWE ULINZI "NILITOLEWA LOKU"
▶︎

WATSON AMTUHUMU SABAYA AOMBA AONGEZEWE ULINZI "NILITOLEWA LOKU"

TANZANIA YASHITAKIWA MAHAKAMA ya KIMATAIFA ya HAKI za BINADAMU AFRIKA kwa KESI NNE - HUKUMU YATOKA..
▶︎

TANZANIA YASHITAKIWA MAHAKAMA ya KIMATAIFA ya HAKI za BINADAMU AFRIKA kwa KESI NNE - HUKUMU YATOKA..

VITAMIN D greške i rizici po zdravlje!
▶︎

VITAMIN D greške i rizici po zdravlje!

Yafunganywe na Perezida Bizimungu \\Charles Ntakirutinka yavuze icyo yabwira Pres. Kagame nibahura
▶︎

Yafunganywe na Perezida Bizimungu \\Charles Ntakirutinka yavuze icyo yabwira Pres. Kagame nibahura

NAYOBORAGA ABASIRIKARE BARINDAGA PEREZIDA KAYIBANDA||GEN KARENZI KARAKE YAMPAYE AMADOLARI||RUGENERA
▶︎

NAYOBORAGA ABASIRIKARE BARINDAGA PEREZIDA KAYIBANDA||GEN KARENZI KARAKE YAMPAYE AMADOLARI||RUGENERA

MAHOJIANO MAALUMU: TANZANIA YAELEZA MSIMAMO WAKE KUHUSU ICC
▶︎

MAHOJIANO MAALUMU: TANZANIA YAELEZA MSIMAMO WAKE KUHUSU ICC

SABAYA NA WENZAKE WARUDISHWA TENA MAHAKAMANI MUDA HUU
▶︎

SABAYA NA WENZAKE WARUDISHWA TENA MAHAKAMANI MUDA HUU

NYUNDO NA WENZAKE 'WALIOMBAKA BINTI WA YOMBO' WAKIWA MAHAKAMANI KUSIKILIZA RUFAA YA KESI YAO
▶︎

NYUNDO NA WENZAKE 'WALIOMBAKA BINTI WA YOMBO' WAKIWA MAHAKAMANI KUSIKILIZA RUFAA YA KESI YAO

NARWANYE KWA IDI AMIN MBERE YO KUJYA MU NKOTANYI||UBUNDI IRIYA MBUNDA NINI NIYO YANJYE||AFANDE KING
▶︎

NARWANYE KWA IDI AMIN MBERE YO KUJYA MU NKOTANYI||UBUNDI IRIYA MBUNDA NINI NIYO YANJYE||AFANDE KING

FROM HIV RESPONSE TO HEALTH SECURITY: TANZANIA'S 20-YEAR PARTNERSHIP WITH THE US
▶︎

FROM HIV RESPONSE TO HEALTH SECURITY: TANZANIA'S 20-YEAR PARTNERSHIP WITH THE US

Listen to what Gachagua said today in Karen after Cleophas Malalah allegedly ditched DCP Party!
▶︎

Listen to what Gachagua said today in Karen after Cleophas Malalah allegedly ditched DCP Party!

Shock in Thika as Father Kills Wife, Two Sons in Suspected Acid Attack Before Dying
▶︎

Shock in Thika as Father Kills Wife, Two Sons in Suspected Acid Attack Before Dying

Listen to What Gachagua Lawyer MP Njeri Maina said Infront of Gachagua ahead of Impeachment ruling
▶︎

Listen to What Gachagua Lawyer MP Njeri Maina said Infront of Gachagua ahead of Impeachment ruling

“Hii Kizungu Mnaskia Nikipromosha!” Gachagua Cracks Jokes as He Meets His Teacher Face to Face!
▶︎

“Hii Kizungu Mnaskia Nikipromosha!” Gachagua Cracks Jokes as He Meets His Teacher Face to Face!

Gachagua exposes what KDF secretly told him about Ebola quarantine facility in Laikipia!🔥
▶︎

Gachagua exposes what KDF secretly told him about Ebola quarantine facility in Laikipia!🔥

MBUNGE WA KATAVI AVUNA PESA BUNGENI BAADA YA KUGONGA NONDO ZITO JUU YA UVUNJIFU WA MAADILI.
▶︎

MBUNGE WA KATAVI AVUNA PESA BUNGENI BAADA YA KUGONGA NONDO ZITO JUU YA UVUNJIFU WA MAADILI.

CEASEFIRE TESTED: US, Iran trade STRIKES as peace talks stall
▶︎

CEASEFIRE TESTED: US, Iran trade STRIKES as peace talks stall

Unforgettable Goals Of Diego Maradona
▶︎

Unforgettable Goals Of Diego Maradona

10 prirodnih namirnica za čišćenje jetre
▶︎

10 prirodnih namirnica za čišćenje jetre