Alichozungumza Rais Samia alipomtembelea Mama Halima Mdee hospitali
Ni ziara yenye faraja, hivi ndivyo inavyoweza kuelezwa baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kumtembelea mama mzazi wa mbunge wa viti maalumu, Halima Mdee aliyelazwa katika Hospitali ya Benjamini Mkapa iliyopo jijini Dodoma. Alipofika kwenye hospitali hiyo leo Februari mosi, 2024, Rais Samia amemtembelea mama mzazi wa mbunge huyo aliyelazwa hospitalini hapo akisumbuliwa na saratani. Katika wodi aliyolazwa mama huyo, Rais Samia aliambatana na viongozi wengine akiwemo Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu ambao walipokelewa na Halima na mbunge mwenzake, Ester Bulaya. Kama ilivyo ada mgeni anafika kumtazama mgonjwa, anayemuuguza ndiye anayetoa taarifa ya maendeleo ya mgonjwa hivyo ndivyo alivyofanya Halima akimuelezea Rais Samia hali ya mama yake. Wakati wote wa mazungumzo wodini hapo, vicheko na tabasamu vilitawala hasa pale mama Halima alipoeleza mapenzi yake kwa Rais Samia. Hisia hizo zilithibitishwa na Halima aliyeeleza mara kwa mara amekuwa akihojiwa na mama yake kuhusu harakati zake za kisiasa zenye mrengo wa kuisumbua Serikali inayoongozwa na Rais Samia. “Yaani anakupenda kweli hadi wakati wengine tukiwa wakali kidogo ananiambia sasa nyie mnamsumbua mama yenu, namwambia tuache tu tuko kazini,” amesema Halima. Kauli hiyo ilimfanya Rais Samia kuangua kicheko na kusema, “Kumbe nina watetezi, hiyo ndiyo bahati yangu wanawake hawana compromise,” amesema.

ESTER BULAYA AFUNGUKA A-Z MAISHA ya NDOA / KIFO CHA WAZAZI WAKE, MAHUSIANO YAKE na HALIMA MDEE

HALIMA MDEE AWAVURUGA BUNGENI “NAPATA MIZUKA YANI HIKI KIMDUDU HAKILIPI WATU FIDIA”

#live RAIS SAMIA AKIMPOKEA RAIS NETUMBO NANDI-NDAITWAH, IKULU DAR ES SALAAM JUNI 20, 2026

“Varfëria më detyroi!”/ Vajza i dëgjon zërin për herë të parë, nënës i bie të fikët gjatë rrëfimit

🔴#LIVE: RAIS SAMIA - "WENGINE WAMEKUWA KAMA NG'OMBE, DEMOKRASIA SIO MATUSI"

AMINA VIKOBA ni dada yangu, baba mmoja mama mmoja. Na yeye ndo alinilea baada ya baba yetu kufariki.

HALIMA MDEE: ''UKINIANGALIA MIMI NI MWANAMKE AU MWANAUME''

HALIMA MDEE afunguka - "NIPO SINGLE, SINA MTOTO, MAISHA NI MAISHA YANGU"

'Vajzën ma vrau tre ditë pas martesës, pas varrimit u shfaq tjetra', rrëfimi drithërues

Malalamiko ya Halima Mdee kuhusu uchaguzi

ODM at a crossroads | Suba South MP Caroli Omondi speaks ahead of NDC showdown

#live RAIS SAMIA AKISHIRIKI UFUNGUZI WA JENGO LA TIBA YA MIONZI KWA WAGONJWA WA SARATANI, KCMC MOSHI

Marokko – Haiti Highlights | Gruppe C, FIFA WM 2026 | sportstudio

Ju Kosovaret skeni qka kerkoni ne Shqiperi… Ju jeni serb !

🔴MEZA HURU: NAFASI YA MWANAFUNZI NA JUKUMU LA KUJITAMBUA - JUNI 23, 2026

MWALIMU ASIMULIA ALIVYOKATWA MKONO NA MUMEWE, WATOTO WAKE WAONE VIDOGOLE VILIVYOKATWA, WANAFUNZI

Schottland – Brasilien Highlights | Gruppe C, FIFA WM 2026 | sportstudio

Masi jam ardh Nuse, Kunata 1 vjet nuk më ka shti në Magje | Ke Kismet | DTV Media

ZIJUE AINA ZA NDIZI NA MASOKO YAKE

