WAPUUZENI WANAOTAKA KUKINUKISHA - OCD SENGEREMA

Mkuu wa polisi wilaya ya Sengerema SSP Kulwa Msogalya amewataka madereva bajaji wa wilaya hiyo kuwapuuza watu wasioitakia mema nchi yetu kwa kuchochea mambo yasiyofaa SSP Msogalya ameyasema hayo wakati akizungumza na madereva bajaji zaidi ya mia tatu wa wilaya hiyo ambao walikutana kwenye kikao cha pamoja na viongozi wa jeshi la polisi kwa ajili ya kuhakikisha wanailinda amani ya wilaya hiyo pamoja na kukumbushana kufuata sheria za usalama barabarani