🔴 #LIVE : MAHOJIANO YA PAPO KWA PAPO NA MCH MBWANA. | MKUTANO WA WATOTO WA WACHUNGAJI - NTUC

Mkutano wa watoto wa Wachungaji NTUC unaofanyika katika ukumbi wa Shule za Geita Adventist.Mnenaji mkuu ni Mch: Geoffrey Mbwana. Endelea Kubarikiwa.