Moto waua watoto wanne wa familia moja Nachingwea, Lindi
Watoto wanne wa familia moja wamefariki dunia baada ya chumba walichokuwa wamelala kuteketea kwa moto katika Kijiji cha Mawazo, Kitongoji cha Stendi Mpya, Kata ya Nambambo, wilayani Nachingwea, mkoani Lindi. Watoto waliopoteza maisha ni Ali Hassan Juma (11), mwanafunzi wa darasa la tano, Shufaa Ali Juma (9), mwanafunzi wa darasa la tatu wakiwa ni watoto wa mwenye nyumba Maua Mshamu Rashidi na wajukuu zake Basrat Zakayo Juma (6), mwanafunzi wa darasa la kwanza na Izdat Boniface (4). #azamnewsupdates ✍Omary Mikoma Mhariri| @official_jennifersum

▶︎
WASANII WA NACHINGWEA WANAVIMBA SANA/NAMTAMANI SANA DOX/MIMI SINA MSHINDANI

▶︎
CHALAMILA ALIVYOAGIZA MWENYEKITI AKAMATWE na POLISI BAADA ya KUDAIWA KUTAPELI WATU VIWANJA....

▶︎
KABWE AWAKA SIMBA WAMENYONGWA NA REFA, PENATI HALALI

▶︎
TAZAMA MAAJABU YA SKAUTI ANAE NYANYUA WATU KWA MDOMO KIPAUMBELE SC

▶︎
AMSHITAKI MMEWE KWA WAZIRI MKUU "ANAJINYEA TU" Wananchi Wavunjika Mbavu

▶︎
MAMBO YA KUZINGATIA KABLA YA KUNUNUA KIWANJA

▶︎
MOST CHEAP STREET FOOD IN AFGHANISTAN | KABULI PULAO | ROAS CHICKEN | BIRYANI RECIPE | STREET FOOD

▶︎
85 Incredible Moments Caught on CCTV Camera

▶︎
WATOTO WALIOKUFA KWENYE AJALI YA MOTO WAZIKWA LINDI

▶︎
EPs 01 ALIYEFARIKI KUONEKANA AKIWA HAI :NAIPANGA-NACHINGWEA

▶︎
THIS IS SIMBA‼️ WAFICHUA MAOVU YOTE WALIYOFANYA PAMBA JIJI | KUMBE WAMETUMWA | ISHU IPO HIVI....

▶︎
How Traore is Magically Growing Real Apples in Desert?

▶︎
WATOTO WAWILI WAJINYONGA KWA KAMBA CHANZO CHEKE KIMEZUA UTATA PEMBA

▶︎
WATOTO WANNE WAFARIKI KWA KUDUMBUKIA KWENYE KORONGO

▶︎
Incredible Safari Moments Caught on Camera

▶︎
DC Nachingwea amvaa mwalimu anayedaiwa kumpa mimba mwanafunzi

▶︎
OH GOD! SORROW AS CELILIA WANJIKU OF UTUMISHI GIRLS SCHOOL FIRE TRAGEDY IS BURRIED IN GIL GIL

▶︎
SADIO MANÉ HUMILIATED BRAZIL AND SENEGAL INJURED THE BRAZILIAN NATIONAL TEAM WITH A HISTORIC DEFEAT!

▶︎
MBUNGE NACHINGWEA ASHIRIKI MAZISHI YA MWANANCHI ALIYEUAWA NA TEMBO.

▶︎
