Ally Hapi Awapinga CHADEMA Kutaka Jumuiya za Kimataifa Ziwepo Mchakato wa Maridhiano
Akizungumza Juni 19, 2026 katika mkutano wa hadhara uliofanyika Kahama, Mkoani Shinyanga, Katibu wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM Ally Hapi amesema baadhi ya Viongozi wa CHADEMA wamekuwa wakipeleka masuala ya ndani ya nchi katika majukwaa ya Kimataifa badala ya kuyatatua ndani ya Tanzania. “Nimesikia wanazungumzia maridhiano, nikamsikia Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Zanzibar, nikamsikia Mnyika tunataka Ulaya waje, mimi nikajiuliza sisi hatuna uwezo wa kufanya maridhiano wenyewe hadi tuite Watu kutoka Ulaya?” amesema Hapi. Unaweza kutufuatilia kupitia; TWITTER: / thechanzo INSTAGRAM: / thechanzo FACEBOOK: / thechanzo TIKTOK: https://www.tiktok.com/@thechanzo?is_... Au tembelea tovuti yetu: https://www.thechanzo.com Kutuunga mkono: https://thechanzo.com/support/ Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105 The Chanzo 2026 © All Rights Reserved.

🔴#LIVE: CHADEMA WAITIKISA MBEYA MJINI WASEPA NA KIJIJI, HECHE,MNYIKA, WAUWASHA MOTO

#LIVE: HECHE AISIMAMISHA MBEYA MJINI, MAELFU WAJAZANA MUDA HUU

LIVE: Rigathi Gachagua addressing The Nation Now at Wamunyoro ahead of Thursday Maandamano!

Katambi Atoa Onyo kwa Kauli za Kuzua Taharuki Kutoka kwa Wanasiasa, Viongozi wa Dini, na Serikali

WANANCHI WAMGOMEA MKUU WA KITUO CHA POLISI DIWANI ACHARUKA MKUTANO WAVURUGIKA NA KUSAMBARATIKA

LIVE : CHADEMA WATUA KWA KISHINDO MBEYA MJINI, HECHE,MNYIKA,WANAUNGURUMA MUDA HUU

ALLY HAPI AWAVUA NGUO CHADEMA - "MNYIKA AELEZE UKWELI ZILE PESA WALIZORUDISHA ZILIKUWA za NANI"

🛑AMAKURU Y'UBUTASI:AMAKURU ARAVUGA KO H.E TSHISEKEDI YUBUYE UMUGAMBI W'IBITERO KURI RUBAVU & MUSANZE

MKEWE LISSU ASHINDWA KUZUIA MACHOZI AKIONGEA MBELE YA KAMATI YA HAKI ZA BINADAMU YA JUMUIYA YA ULAYA

OKULONDA AKULIRA ABAVUGANYA: Abalina akakwate ku plu baagala kukomyawo kiteeso

Heche Afunguka Umasikini Mikoa ya Kusini, Agusia Barabara ya Nachingwea Kushindwa Kukamilika

''DUNIA ya SASA SIYO MAKOMANDO WANAOVUNJA MATOFALI WATAPIGWA na DRONE'' - BABA LEVO AWAVUNJA MBAVU

KAULI NZITO YA MWABUKUSI- “KUFIKIRI CCM ITALETA KATIBA MPYA NI KAMA KWENDA BINGUNI KWA BAJAJI!”

Kesi Mpya ya Mali za CHADEMA Yazua Mabishano Makali Mahakamani, Waleta Maombi Wataka Iwekewe Zuio

Mazungumzo na Mama Anna Tibaijuka: Oktoba 29 | Sakata la Yuda |Tanganyika-Zanzibar| Kesi Tundu Lissu

HECHE HAKAMATIKI, AWAPA UKWELI MCHUNGU POLISI NA WATAWALA, AONGEZEWE ULINZI, ATIKISA MBARALI BALAA

President Mahama speaks at NDC's 2nd anniversary commemoration of "Rawlings Day"

‘Maneno ya Simai yana viashiria vya Uzandiki, Uzabizabina na Uchizi’ Asema Mbunge Viti Maalum Ruvuma

CHADEMA YAsisitiza Jumuiya za Kimataifa Ziwepo Kama CCM Inataka Maridhiano ya Kisiasa

