UKIFANYA MAMBO HAYA 10 UNAPOOMBA, MUNGU ATAKUJIBU HARAKA SANA! WENGI HAWAJUI!

Je, maombi yako yamekuwa yakichelewa kujibiwa? Katika video hii, Apostle Deusi Sengo anakufundisha mambo 10 muhimu ya kibiblia ambayo yatakusaidia kuomba kwa usahihi na kuona majibu ya Mungu kwa haraka. Jifunze siri za maombi yenye nguvu na jinsi ya kumkaribia Mungu kwa imani ili upokee kile unachokiomba. #Maombi #ApostleDeusiSengo #Prayer #MaombiYaNguvu #Mungu #usikuwamanane #midnightprayer #Imani #Biblia #maombiyausikuwamanane